We unaekataa kuwa elimu bure ni mpuuzi na unapuuzia mambo ambayo yakisimamiwa vzuri elimu inawezekana kabisa,mfano ukiondoa misamaha ya kodi kwa wawekezaji na mikataba mizuri ya gesi na madini kwa nini isiwezekane?
Maramla haupo sahihi kwa kauli yako na nimoja ya uchochezi kabisa.Ujiulize kama alifanya hivyo alifanya akiwa ndani ya chama kipi?na wangapi mlonao ccm wanaofanya hayo?na je hujaskia wananchi wenyewe wakisema viongozi hasa watendaji na madiwani ndo vinara? Hizo ndo moja ya kero ambazo ukawa...
Mie naona sasa tuanze kupigwa mabomu hapohapo kwani huu ni upuuzi,njama zenu zote zinatia hasira sana.Viwanja nivyawatanzania wote kwanini mtukatalie....?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.