Sasa wewe ulitegemea akufanye nini, inaonekana kuwa humpendi unafanya maigizo tu, hadi unachati na wanaume na kujionesha kwake?!
Ushauri wangu kwa hili achana na uyo jamaa Kama huna mapenzi nae mapema kabla hajakula kiungo kimoja kimoja cha mwili wako.
Hii haiko sawa kwa kila mahusiano bali baadhi yao, kwani hakuna "universal formula" Katika mahusiano, kila couples wanatengeneza na kuharibu mahusiano kwa njia tofauti ingawa nyingi zao hufanana.
Apo ni kujitayarisha kukosa ajira au uhamisho, ulijuwa uyo mama Kama unavyomwita alikuwa single? Ullichemsha kutokuchunguza na mashugamami wakikungangania athari zake ndo izo. Utakachofanya apo chochote wewe ndo utapata shida fanya maamuzi magumu broo, wajuulishe uongozi kazini ufukuzwe au upate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.