Sharose Enterprise inawakaribisha wajasiriamali na wafanyabiashara wote wenye nia na huitaji wa usajili wa biashara zao.
Sharose tunatoa usaidizi wa usajili wa Kampuni na Majina ya biashara kwa kutumia mfumo wa BRELA (ORS) pia tunatoa usaidizi wa kusajili nembo za Biashara BRELA.
Biashara yoyote...
Tupo kwaajili yako wewe mjasiriamali na mfanyabiashara katika kukusaidia nyanja mbalimbali ya kuipa thamani biashara yako.
Je, Biashara yako yako inahitaji kutambulika kisheria?
Je, Biashara yako inahitaji kuwa na logo?
Je, Biashara yako inahitaji kurasa za kujitangaza?
Je, Biashara yako haina...
Je, una wazo la kumiliki Kampuni yako Tanzania?
Karibu Sharose Enterprise tupo kwa ajili yako.
Jukumu letu ni kukupatia ushauri na kukufanikishia usaidizi wa usajili wa Kampuni yako.
Watu wengi wanasajili Kampuni lakini bado hawajatambua namna gani ya kuiendesha Kampuni yake, ukiwa nasi tutakuwa...
Habari wataalam,
Naomba msaada simu yangu kwenye mitandao ya kijamii kama facebook na instagram kuna baadhi ya maandishi hayasomeki inatokea alama tu kama zinavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Tunatoa ofa ya punguzo la 60% katika usaidizi wa;
-Usajili wa Kampuni kwa Tsh 100,000
-Usajili wa jina la biashara kwa Tsh 10,000
-Kuupdate taarifa za Kampuni na kutuma returns BRELA kwa Tsh 50,000
N.B: Bei hizi hazijahusisha ada za BRELA.
Karibu sana tukuhudumie.
Mawasiliano; Whatsapp: 0755...
Leo tunatoa ofa ya usajili wa Kampuni au jina la biashara kwa punguzo la 60%. Ofa hii itaisha ndani ya siku tatu. Popote ulipo huduma hii itakufikia, karibu tukuhudumie.
Wasiliana na kwa simu namba;
0755 440 118/0622 724 864
Unapohitaji kuanzisha Microfinance na ili uweze kupata kibali cha kuendesha biashara yako kutoka BOT kitu cha kwanza cha msingi mtaji wako unatakiwa uanzie Tsh 20,000,000.
Vingine;
1. Ufanye usajili wa Kampuni au jina la biashara BRELA
2. Upate TIN na Tax Clearance
3. Uwe na Sera ya kukopeshea...
Unachohitajika kufanya hapo ni kuandika barua ya kuomba TIN yako ibadilishwe kutoka kwenye Business TIN na iwe Non-Business. Ikashabadilika hapo utakuwa salama.
Ukiandika barua watakuangalizia madeni yako kama unadaiwa itahitajika ulipe madeni yako na kama hauna basi itabadilishwa lakini uwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.