Jamani,
Mimi ni kijana wa kitanzania nahitaji kujikwamua kiuchumi na nimepata wazo la kwenda kuchukua viazi mviringo Mbeya na Iringa na kuja kuviuza mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro.
Shida yangu kubwa nahitaji nimpate 'Mentor' au mtu aliyewahi kufanya hiyo biashara angalau anipe moja mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.