Kigoma,Kagera,Lindi,Mtwara,Ruvuma,Dodoma,Dar es Salaam,Arusha,Kilimanjaro,Tanga,Singida,Mbeya,Iringa,Njombe na Tabora,hapo ukiondoa mikoa niliyo somea vyuo na sekondari na mkoa nilio zaliwa,mikoa mingine iliyo baki nimeishi kikazi kwa miezi mitatu hadi 6 kulingana na ukubwa wa kazi ninayo ifanya.