Moyo wangu unanidanganya

Moyo wangu unanidanganya

Habari wana jf
Nimekuwa nikisoma thread za watu na wanavoshauliwa nahisi nami ntashauliwa kuondoa huu mzigo unaonimaliza kila kukucha

Nimependa nisipopendwa

Ni hiv mwaka 2009 nilipata kazi kwenye kampuni fulan huko songea kipind hiko nilikua single

Ndipo nilipoanzisha mahusiano na kijana ambaye nafanya nae kazi na tulidumu kwa mda kidogo na nikiamin nimepata
Na nikatokea kumpenda sana


Mwaka 2011 mwishon akaanza visa Mara ooh Wazaz wangu hawakutaki Mara siwezi kuoa mzanzibari ikabid nianze kufanya upelelez nikaanzia kwenye simu yake nikakuta namba ambayo huwa anawasiliana nayo sana nikaamisha kwenye simu yangu nikampigia

Jibu nililolipata nilitaman kuzimia alinambia ye ni mchumba ake na juz ametoka kumtolea posa

Baada ya siku 2 alikuja nyumban kwangu na kuniwakia sana kwanini nimepiga ile namba bila kumuuliza lkn hatukuachana aliningopea vya kutosha ooh utakuwa mke wa pili tukaendelea

Mwaka2012 hapa tufanyapo kazi kuna utaratibu endapo wafanyakaz mkioana wanawachangia pamoja hapa ndipo nilipoona machungu huyu bwana katangaza anataka kuoa ofisi yote wakajua naolewa Mie kumbe sio(aibu ilioje) maneno chinichini yakaanza watu kunisemasema ooh malaya ndo maana ameachwa (ila ukweli naujua mwenyewe)

Nikashindwa vumilia nikaomba ruhusa ya kwenda kusoma ikakubaliwa mwaka 12 nikaja dar kusoma

Kipind nipo dar akawa ananipigia simu nikamchunia weee ila nikashindwa tukawa tunawasiliana

Tatizo hasa

Nimemaliza kisoma natakiwa kurudi kazin
Sina uwezo wa kuvumilia maneno ya watu nina hasira sana na kuacha kazi siwez .(nimesomeshwa na ofisi)

Pia moyo wangu wangu bado unampenda huyu kijana kila nikijitahid niweze kumsahau siwez

Naomben msaada nifanyaje ili niweze kumsahau nirudie maisha ya zamani

Pole dada,umepangiwa kumpata wako wa peke yako,so jaribu kuwa mvumilivu, 1 day yes, karibu Matalawe
 
duu kweli unapenda vibaya....akili,moyo,nafsi kila kitu inabidi vikubaliana na hali halisi ili urudi kazini otherwise ukiiendekeza penda yako hiyo utaishia kukimbia ajira
 
Habari wana jf
Nimekuwa nikisoma thread za watu na wanavoshauliwa nahisi nami ntashauliwa kuondoa huu mzigo unaonimaliza kila kukucha

Nimependa nisipopendwa

Ni hiv mwaka 2009 nilipata kazi kwenye kampuni fulan huko songea kipind hiko nilikua single

Ndipo nilipoanzisha mahusiano na kijana ambaye nafanya nae kazi na tulidumu kwa mda kidogo na nikiamin nimepata
Na nikatokea kumpenda sana


Mwaka 2011 mwishon akaanza visa Mara ooh Wazaz wangu hawakutaki Mara siwezi kuoa mzanzibari ikabid nianze kufanya upelelez nikaanzia kwenye simu yake nikakuta namba ambayo huwa anawasiliana nayo sana nikaamisha kwenye simu yangu nikampigia

Jibu nililolipata nilitaman kuzimia alinambia ye ni mchumba ake na juz ametoka kumtolea posa

Baada ya siku 2 alikuja nyumban kwangu na kuniwakia sana kwanini nimepiga ile namba bila kumuuliza lkn hatukuachana aliningopea vya kutosha ooh utakuwa mke wa pili tukaendelea

Mwaka2012 hapa tufanyapo kazi kuna utaratibu endapo wafanyakaz mkioana wanawachangia pamoja hapa ndipo nilipoona machungu huyu bwana katangaza anataka kuoa ofisi yote wakajua naolewa Mie kumbe sio(aibu ilioje) maneno chinichini yakaanza watu kunisemasema ooh malaya ndo maana ameachwa (ila ukweli naujua mwenyewe)

Nikashindwa vumilia nikaomba ruhusa ya kwenda kusoma ikakubaliwa mwaka 12 nikaja dar kusoma

Kipind nipo dar akawa ananipigia simu nikamchunia weee ila nikashindwa tukawa tunawasiliana

Tatizo hasa

Nimemaliza kisoma natakiwa kurudi kazin
Sina uwezo wa kuvumilia maneno ya watu nina hasira sana na kuacha kazi siwez .(nimesomeshwa na ofisi)

Pia moyo wangu wangu bado unampenda huyu kijana kila nikijitahid niweze kumsahau siwez

Naomben msaada nifanyaje ili niweze kumsahau nirudie maisha ya zamani

Pole dada,umepangiwa kumpata wako wa peke yako,so jaribu kuwa mvumilivu, 1 day yes, karibu Matalawe
 
Huko kuamua ndo nahitaji ila moyo wangu unaniongopea hadi naanza chukia kupenda

Purpose to change! Ni ngumu..wahenga wanasema, 'mtu pekee anayekubali mabadiliko, ni mtoto mchafu!'
 
Back
Top Bottom