Ndo tujiulize mkuu yana mmiliki aliona amjuliishe riz moko kuwa nimechomewa vituo kathaa bila kuwa na mahusiano. Nathan hawa viongoz saiv wangekaa kmya kidogo sasahv watu uelewa wao nimkubwa kuliko wanavyofikiri wao au wakiongea wasizungumzie lolote kuhusu mo29
Mkuu kunataarifa kuwa hamas wanaomba wapewe njia salama ya kutoka kwenye mahandaki tafathali mkuu bila kuingilia majukumu yako naomba utushushie news hapa mana nakutegemea binafsi kwa habari za hamas +hzbolha
Na nyie huko tz mje mumtume shilole kuwa wakilisha pale Adisi ababa kwenye kikao cha AU 😂😂 maana kwa mambo ya tz lolote laweza kutokea , a,k,a taletale
Samahan mkuu ila syo kwa ubaya hyo gari mbovu ambayo ingine ni nnzima hapo kwenye profl yako imepaki wapi namuda sjaiona mkuu ikitembea, samahan kwa hlo swali
Nifala mmoja tu huyu na yawezekana bi harusi akimaliza kupandwa huko akarud na jamaa akampokea. Hawa ndo wanaume wanajinyonga kisa mapenzi niwathaifu sana wanasingizia eti wanaimani. Iman gan ya kingese hyooo
Ukisikiliza vizuri zuio limewwekwa ikiwa tayari ishauzwa na hat kubadilishwa .kingine hiv kma jamaa alieuza kamma alimdanganya mnunuzi kua hana mke? Nathan serekal ingeweka kipengele kama unauza nyumba wawasiliane na rita kujua kma una ndoa au laa vingnevyo lawama ztakua nyingi maana hapo hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.