Hili ndilo kanisa bana na sheria zake za kujitungia wenyewe,ukweli utajulikana siku moja,walianza mapadre kulawiti ssa dada zao wanazini bado mpaka mtakuja amini ambacho munakipinga kila siku....
Acha ujinga wewe unaongea tu kwa sababu mdomo haulipiwi acha waislamu waishi kulingana na matakwa ya dini uao kama dini yako haina utaratibu wa maisha ww kaa kimya mana inavoonekana hata chizi akitunga sheria nyinyi mtafuata
Acha ujinga unatumia akili.au matope kama kazi ya serikali ni kusimamia haki ya kila mwananchi iweje ibague haki ya mwananchi mwingine,serikali hii ni ya dini ya kikiristo na inaongozwa hivo ndio mana imetufikisha hapa tulipo masikini wakutupwa wakati rasilimali tunazo kila siku kukicha ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.