mbona hizo ni nchi za waafrika weusi tu, sioni waarabu hapo. Magufuli yupo sahihi, hawa wazungu wana mpango maalum kwa weusi. Tuchukue tahadhari. Hii ngozi nyeusi inawatisha weupe.
Kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu.
Namwungamia Mungu Mwenyezi nawe padre wangu.Sikuungama tangu..........Niliondolewa dhambi, nikatimiza malipizi. Dhambi zangu ni hizi......
Najuta dhambi zangu zote.
Ee Yesu unihurumie.
Huo hapo juu ndio utaratibu wa kuungama wakatoliki. Je kuna...
Jamani hivi kwa nini watanzania hatuelewi vitu kwa maana yake halisi? Hii kitu inaitwa ajali ni neno la kiswahili na sisi tunajinasibu sana kuwa ni waswahilli. Hapa naona wengi wetu hatuelewi maana ya ajali. Ajali ni tukio litokealo bila kupangwa hivyo halizuiliki, likitokea limetokea hakuna wa...
Kwa maana hii waarabu(waislamu?) Wote motoni maana waume kwa wake huvaa nguo zinazofanana(kanzu). Naomba kusahihishwa. Halafu hawa ndio ving'ang'anizi wa vazi la suruali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.