haya madawa sasa yamekuwa issue kwani kila mtu anakamatwa kutoka nayo hapa kupeleka nje ya tanzania kwa hiyo hapa sasa kuna kiwanda cha kuzalisha madawa
Jaji John Utamwa ameingia mahakamani akiongozana na karani na kuomba radhi kwa kuchelewa kisha kuanza kusoma hukumu.
Mawakili wamejitambulisha na Jaji amesoma jalada la kesi husika.
Hukumu inaendelea kusomwa na Jaji Utamwa. Zitto Kabwe ana ulinzi mkali ndani ya Mahakama Kuu. Tundu Lissu yupo...
Polisi wafanye uchunguzi wa kina si kupuuza maana sasa tanzania panaanza kuwa sio sehemu salama kwa raia wake kama mtu anatekwa na kuumizwa kisha mambo yanakwisha kimya kimya inakatisha tamaa kwa raia ambao hata sio viongozi
hivi tatizo la zitto ni nini hasa hadi vijana leo mmekua mkimchukia kusema yale ambayo sisi tulikuwa hatuyajui au kwa kuwa anataka kuhamisha ufalme kanda ya kasikazini na kuupeleka kanda ya magharibi au kawagusa miungu watu kwenye liziki zao
siku zote unaambia akili ya kuambiwa ongezea...
Wadau, waandishi wengi wa habari wananipigia nithibitishe ikiwa CUF iliandaa makundi ya wanachama wakamshabikie ZZK mahakamani leo hii. Taarifa ya namna hii pia imeenea mitandaoni.
Pia viongozi kadhaa wa CHADEMA wamenipigia kunijulisha kuwa Intelijensia yao imegundua kuwa vijana wa CUF...
Hatimae kilio cha sikunyingi cha cuf kimesikika rasmu imependekeza serikari tatu
kwani kwa miaka mingi Cuf imekuwa ikililia muungano wa serikari tatu toka mwaka 2005
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.