taja basi na faida zinazopatikana huko moshi na adhari zake
ila kupungua kwa foleni kunatokana na shule kufunga
maduka yanapungua wateja inategemea na wewe unakaaa wapi kama unakaa polini lazima ukose wateja
ungesema machangudoa hupungua kweli maana madada wengi wanaojiuza wanatokea pande...
hapa mukulo ajitokeze na kusema aliosoma nao kama kweli toka dalasa la kwanza hadi la saba alitumia jina hili au kweli amebadilisha ukubwani na kweli alisoma mbeya day?
Wewe wilshere naona umri tatizo kidogo kwako mwaka ambao cuf ilifanya vizuri mikutano ilifanyika wa na wanyonge kwani wanishi wapi na pia kumbua kuwa kauri mbiu ya cuf ni haki sawa kwa wote sijui wewe kwa ushauri tukafanye wapi mikutano na wewe na chama chako huwa mnafanya wapi mikutano kama...
Wewe wilshere naona umri tatizo kidogo kwako mwaka ambao cuf ilifanya vizuri mikutano ilifanyika wa na wanyonge kwani wanishi wapi na pia kumbua kuwa kauri mbiu ya cuf ni haki sawa kwa wote sijui wewe kwa ushauri tukafanye wapi mikutano na wewe na chama chako huwa mnafanya wapi mikutano kama...
Kwanza mikutano ya cuf haifanyiki temeke tu inafanyika kila mahara sema kwa kuwa wewe ni mamluki wa chadema unasema hayao cuf iko kuanzia tawi sio chama chako wewe ni katibu mkuu na jopo lake tu maswali ya kizushi kwako
taja jina la aliekuwa mgombea mwenza wa mbowe na wa slaa kama unawajua...
Hi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa...
miongoni mwa mazuri ya rais kikwete ni kwamba kila mtu kamuachia afanye kazi ya kama waziri ufanye kazi yako ukiwa katibu fanya kazi yako hata house girl nae afanye kazi zake na hili ndio labda tatizo watanzania wanashindwa muelewa kwa mfano leo mkeo akigoma mpaka rais aseme wewe utakuwa na kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.