Huyu mbunge wa jimbo la Segerea,hafai kupitishwa tena na chama chenu....
Ameanza,
1:-hongo na kuhaidi pikipiki kwa vijana,eti uweke kiasi cha laki3 katika account ya benk(namba siwezi ziweka hapa) alafu anakupa pikipiki huku unaendelea kulipa taratibu,hii nayo ni hongo kama hongo nyingine...