Regional development planning......(mipango),
twende mbele turudi nyuma kunatofauti kubwa sana kati ya RDP ya mipango na RDP ya chuo cha Ardhi.....
ila isiwe kesi.....kwa ushauri tu,wilaya ya lushoto,bumburi zina upungufu mkubwa sana wa afisa mipango nenda kajaribu,usi chaguwe mazingira.......pili unaweza fuka mifugo tena kwa garama ndogo sana...mfano;kuku wa kienyeji tetea mmoja ukianza nae anaweza kutaga mayai zaidi ya 15 kwa makadilio anaweza totoa vifaranga 12,na vitakavyo kuwa ndani ya miezi 6 ni vifaranga 7(kunakufa apo).
ivyo baada ya miezi sita una kuku 8,kwa mwaka ni kuku 16,mwaka na nusu 24........
uku unafoce mishe zako kuku wanakuwa.........
inamana ukiuza una uwakika wa mtaji,kila kuku bei ni 12000....
ivyo 24(kuku)*12000=288000,
huo ni mtaji tosha wa kufungua banda kubwa la kuku......kwa mda wa miaka 41/2 unayo 864000.....mungu akupe nini tena.......mimi ni RDP mwenzio ila yangu ni ya chuo cha ardhi......zinduka usingizinu mkuu