Pole sana Mkuu!
Mi nakushauri ungeona na wanasaikolojia!
Depression huwa inatabia ya vitu vingi unavyovieleza!
Ni unapofikia hatua ya kutaka kujidhuru it means uko kwenye climax!
Uchawi upo ila ukiuamini utateseka sana!
Watu wa upako walishindwa kwasababu imani yako haba!
Simba imefanikiwa Afrika licha yakucheza ligi ya Mabingwa mwaka jana bado inarekodi ya kuuza wachezaji kwenye club kubwa barani Afrika hata Ulaya. Acheni yanga waendelea na kelele za chura kwani ipo siku wote wataishabikia simba
Waraka wa serikali wa utumishi wa umma unasema mtu anayeajiriwa na serikali ni lazima alipwe fedha za subsistence allowance kabla ya kuripoti kwenye kituo cha kazi kwahiyo swala la kutopewa hizo fedha ni uzushi
Kwa mwalimu wa shahada last year ilikuwa 45000 kwa siku saba kama umepangiwa wilayani(kijijini), 65000 kwa siku saba kama umepangiwa mjini. but kila mwaka mambo yanabadilika kwani mwaka juzi walitoa hela ya siku 14
Kama ni kweli huyu ni askari wa JWTZ basi ni hatari kwa usalama wa Taifa lakini pia kama huyu jamaa ni magumashi basi kitengo cha usalama wa taifa kipo kwenye usingizi mzito.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.