Kiwanda kipo (TPSC)kilianzishwa mwaka 2015 na kuanza kufanya kazi 2018 kwa kushirikiana na kampuni ya DERA RUE ya uingereza,ila kinashapisha noti zote kasoro elfu kumi yenyewe inashapishwa Ujerumani chini ya kampuni ya GIESECKE & DEVRIENT
Mimi na kusahihisha ,tangu kuanzishwa kwa TPSC(Tanzania printing security company )mwaka 2015,kwa kushirikiana na DERA RUE ambayo ni kampuni kutoka uingereza.kwa sasa Tanzania inachapisha noti zake mwenyewe isipokua elfu kumi ambayo inashapishwa Ujerumani chini ya kampuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.