Peter Jaluo,
Mungu atusaidie.
Ila huwa natafakari Sodoma na Gomora huwa naona hatujafikia kiwango hicho. Jamani Sodoma na Gomora ilikuwa stage nyingine..
Angalia kipande hiki cha kisa cha Sodoma na Gomora:
"Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa...