Wezi wa kutumia silaha ZANZIBAR daima hutokea Tanganyika na ushahidi kamili kama maelezo yalivyo. Kwa wale ambao hawakuelewa tatizo lao hawajui lugha ya Kiswahili. Hizo ndio faida za muungano.
Huyo wa PCCB nasikia ni mlinzi wa Mkurgenzi wao mkuu!aibu sana!!
heading na habar sielewi elewi
Wezi wa kutumia silaha ZANZIBAR daima hutokea Tanganyika na ushahidi kamili kama maelezo yalivyo. Kwa wale ambao hawakuelewa tatizo lao hawajui lugha ya Kiswahili. Hizo ndio faida za muungano.
Takwimu zinakataa kwani katika tukio hili 66.33% ulifanywa na wazanzibari na 33.33% watu kutoka baraWezi wa kutumia silaha ZANZIBAR daima hutokea Tanganyika na ushahidi kamili kama maelezo yalivyo. Kwa wale ambao hawakuelewa tatizo lao hawajui lugha ya Kiswahili. Hizo ndio faida za muungano.
Hawa mumeweza nasubiri wanao mwagia viongozi wa dini tindikali! hawa na siraha hawajaogopwa na wamekamatwa
Au Mkurugenzi wa PCCB nae anacheza dili?
Zanzibar kuna aina fulani ya umoja ktk kushughulikia mambo ya kijamii. Ndo maana hata imekuwa rahisi kuwakamata watuhumiwa wengine ktk sakata hili.
Watanganyika nasi inabidi tujifunze kwa wenzetu.
Ukiacha hayo, mifumo yetu ya ulinzi na usalama kwa namna fulani inanuka uvundo ktk nyakati hizi. Watu walopewa dhamani ya kulinda usalama wa raia ndo siku hizi majambazi na matapeli wa mjini. Aibu sana
wamwaga tindikali,wachoma
makanisa nao wajulikane na wakamatwe kwa kasi hii,hapo tutawaamini
polisi wa znz.
wamwaga tindikali,wachoma makanisa nao wajulikane na wakamatwe kwa kasi hii,hapo tutawaamini polisi wa znz.
Uandishi ni taaluma lakini ujumbe umetufikia. yaliyojiri huko zenj. tumeyaelewa shukran.