ni habari ya kweli kabisa kuna mbibi wamemteka wakimwambia unatakiwa ulete mboga katika hotel kwakua huyo mbibi ni muuza mboga kwahiyo wakampandisha kwenye noah walipofika huko kibao kikageuzwa pigia ndugu zako uwaage simu ikapigwa na mi ndo jirani ya ndugu zake
kabebwa mbibi mmoja wamemteka then wakampeleka makao makuu yao wakamwambia wasiliana na ndugu zako uwaage mwili wake umeokotwa umetolewa sehemu mbali mbali za mwili nasikia wameua wanafunzi mbezi dar es salaam nini hasa wanacho kitaka?
===========================================
Polisi...
cha kwanza nimeandikiwa selected katika profile yangu katika chuo cha ualimu green bird ODP arts''3rd-' ila kwenye orodha sipo apo inakuaje?
Pili lini tarehe ya kuripoti kwa wale wa 3rd selection na unatakiwa ulipe kuanzia kiasi gan?
Fomu ya kujiunga nitaipataje? Mwisho profile yangu leo...
Habari wakuu,
Msaada au aliye chaguliwa hapo anijuze jinsi ya kupata fomu nimechaguliwa ordinary diploma.
Vp kuhusu tarehe ya kuripoti nk
Natanguliza shukraan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.