Wanajamii hivi tatizo la kuuma kwa moyo na kwenda mbio huwa lina sababishwa na nini na dawa yake nini?
Maana huwa linanijia kwa mda na hupotea yani moyo unakwenda mbio mpaka naisi kama nakufa
Nikila vidonge vya presha tatizo ndo linazidi na dawa za hospital nikila ndo linazidi
Anaejua kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.