Shafii chochoro
Member
- Oct 21, 2020
- 19
- 4
Wanajamii hivi tatizo la kuuma kwa moyo na kwenda mbio huwa lina sababishwa na nini na dawa yake nini?
Maana huwa linanijia kwa mda na hupotea yani moyo unakwenda mbio mpaka naisi kama nakufa
Nikila vidonge vya presha tatizo ndo linazidi na dawa za hospital nikila ndo linazidi
Anaejua kitu kuhusu hili tatizo tuambizane jamani
Maana huwa linanijia kwa mda na hupotea yani moyo unakwenda mbio mpaka naisi kama nakufa
Nikila vidonge vya presha tatizo ndo linazidi na dawa za hospital nikila ndo linazidi
Anaejua kitu kuhusu hili tatizo tuambizane jamani