Recent content by shadhuly

  1. S

    Shehe Mwaipopo: Wakati Dini nyingine wanakazana kujenga Mashule na Hospitals Bakwata wao Wamekazana kuhakiki Mali za Urithi!

    Ujenzi wa shule , hospital waendelee serikali, dini iwalee waumini kumjua mungu na kuwa watu wema. Maana hata hizo shule na hospital zinazojengwa gharama zake ni zaidi hata ya gharama zinazotozwa ktk shule na hospital za serikali.
  2. S

    Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

    Mkataba wa uendeshaji wa bandari kati ya Dp world na TPA bado, hatua hio itakavyofikia muda wa mkataba na mambo mengine yatawekwa humo. Mkataba ulioridhiwa na Bunge unahusu mashirikiano kati ya Dubai na Tanzania.
  3. S

    Dr. Ramadhani Dau aapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia

    Hongera sana balozi dr ramadhan kitwana dau
  4. S

    Polisi wamnyima dhamana Tundu Lissu, waandishi wa habari watimuliwa

    Lazima atamkumbuka jk aliekuwa akiwachekea
  5. S

    Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Sijaona mantiki ya msigwa kutumia headed paper ya ikulu kwa kutoa habar. Hio kuwa kama ya kitaifa wakati ni personal event za raisi.
  6. S

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    huyo ndo magufuli kwa w kweli hatanii bali anamaanisha
Back
Top Bottom