Hiyo picha ni ya kuchora ila ni Ubungo hapo, kuna mito yote miwili, kuna stand ya Ubungo, kuna jengo la ubungo plaza, kuna daraja la kuvukia watu kuingia stand na stand yenyewe.
Uhalisia kuwa mradi utakuwa hivyo ndio bado hatuna ila kwa sehemu hapo ni Ubungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo picha ukiangalia bila hasira ni Ubungo hapo. Na ukiangalia kinachoendelea pale kwasasa inawezekana kabisaa ikawa wamebadili gia angani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.