Nilishalipa gharama za kuingiziwa umeme tangu 11.03.2022 lakini mpaka leo kimyaa. Gharama zilikua 515,000/= huwa kuna utaratibu gani wa kuwasiliana na mteja ili ajue tatizo ni nn maana naamini kama hamko ktk nafasi nzuri ya kuwekea umeme pia msingeendelea kuwapa namba za kulipia
Huyo itakua alichunguza sana na kutaka kuchimbachimba sheria inasemaje kuhusu hizo stika. Halafu ukitaka kuwatibua zaidi we watajie Lugola. Watafuata sheria halafu utapoteza muda mwingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.