Recent content by Shaban Kipeta

  1. S

    Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

    Inawezekana kwa kweli...kuna jamaa hapa Kinyerezi ana frame analetewa mayai 300 trays na 9 Hills Company na ndani ya siku 2-3 mzigo mwingine unawasili,na hana pikipiki wala baiskeli ni watu wanakuja wenyewe dukani...sipati picha kama angejiongeza na pikipiki 2 used for delivery....na kuna wakati...
  2. S

    Tatizo la kupoteza/kukosa hamu ya tendo la ndoa

    Mungu hakupi vyote mjomba...ukipenda boga,penda na ua lake...ishi nae,utajikuta unazoea na wwe...
  3. S

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Bob...makadilio ya km/l kwenye used car ni kusadikika...tafuta gari nzuri ya chaguo lako na wengine vile vile...ata ukichacha unaliuza bila shida...(fuel ⛽ economy cars).
  4. S

    Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?

    bora kuoshwa mguu,kuliko kukandwa mwili na njemba kwenye vituo vya massage...na kwa nni hivi vituo vipo vingi sana mikocheni na msasani?kunani...?
  5. S

    Taratibu za kuingiza Mchele nchini Kenya

    Habarini Wadau Naomba msaada kufahamu taratibu kwa yoyote aliyewahi kufanya biashara ya kusafirisha Mchele kwenda Kenya. Wasalaam
  6. S

    Aeleza walivyokubaliana na mume wake kutafuta watoto nje ya ndoa

    kuachana sio jambo la mzaha jamani,husiombe likukute...lisikie tuu kwa jirani yako...
Back
Top Bottom