Inawezekana kwa kweli...kuna jamaa hapa Kinyerezi ana frame analetewa mayai 300 trays na 9 Hills Company na ndani ya siku 2-3 mzigo mwingine unawasili,na hana pikipiki wala baiskeli ni watu wanakuja wenyewe dukani...sipati picha kama angejiongeza na pikipiki 2 used for delivery....na kuna wakati...
Bob...makadilio ya km/l kwenye used car ni kusadikika...tafuta gari nzuri ya chaguo lako na wengine vile vile...ata ukichacha unaliuza bila shida...(fuel ⛽ economy cars).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.