Factors nyingi ila approx 7-9km/l. Bado itategemea na service history, load, muendeshaji..Naelewa ni very comfortable kaka specifically nilitaka kujua mafuta ya litre 1 inaweza tembea km ngapi kwa trip za mjini.
Average ni 8-9kpl kwa misele ya town! Kama mfuko wako uko freshi ukitia full tank ukawa unajazia ifikapo nusu tank utainjoy zaidi!Kwa trip za mjiini kama Daresalaam inaweza kula ngapi kwa 1ltre mkuu ?
Load namaanisha mzigo. Gari ikiwa na mzigo mkubwa itakunywa wese zaidi ya jepesi.Asante kaka. Ukisema load na service history una maanisha nn ?
Average ni 8-9kpl kwa misele ya town! Kama mfuko wako uko freshi ukitia full tank ukawa unajazia ifikapo nusu tank utainjoy zaidi!
Kama gari haina service au imetokea kwenye mmiliki mwenye mkono wa birika lazma iwe na poor economy 6-8kph kwa misele ya below 40KPH speeds!
Bob...makadilio ya km/l kwenye used car ni kusadikika...tafuta gari nzuri ya chaguo lako na wengine vile vile...ata ukichacha unaliuza bila shida...(fuel ⛽ economy cars).Naelewa ni very comfortable kaka specifically nilitaka kujua mafuta ya litre 1 inaweza tembea km ngapi kwa trip za mjini.
Average ni 8-9kpl kwa misele ya town! Kama mfuko wako uko freshi ukitia full tank ukawa unajazia ifikapo nusu tank utainjoy zaidi!
Kama gari haina service au imetokea kwenye mmiliki mwenye mkono wa birika lazma iwe na poor economy 6-8kph kwa misele ya below 40KPH speeds!
Luxury??Gari iko chini kama konokono,huwezi hata kutoka nje ya jiji!A cursed car i ever seen!
Luxury ambayo huwezi kutoka nje ya jiji ni gereza la kifahari!Luxury??
ni kweliGari iko chini kama konokono,huwezi hata kutoka nje ya jiji!A cursed car i ever seen!