There something ambacho wengi wetu tunachnganya hapa katika viwango vya mshahara let me try to make it clear...ni hivi Hizo TGOS huwa zina depend pia na kiwango cha elimu yako nikimaanisha kuna elimu ya form4 most of them wanacheza katika TGOS1 hiv kama 240,000 pak level fulan then kuna A-level...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah hiyo 8 and 9 nimecheka sana aise ila ok ngoja nichukue 10 maana ukiwa hauna hiyo point ya 10 utakuona kam mchekeshaji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.