Najua nihaki ya kimsingi kwa mtu yoyote anaye kua navigezo vya kumiliki silaha(hasa bastola/pistol),lakin wana JF naombeni tutafakari kwa makini,hivi niwangapi wamepoteza maishayao au malizao japo wanamiliki hizo silaha,na wanashindwa kujiokoa nazo! Nakama wapo kwenye kumi yupo mmoja labda,sasa...