Recent content by Severino Rock

  1. Severino Rock

    Dk Bashiru Ally: Membe aige tabia za Lowassa. Lowassa ni mtu muungwana na hana unafiki

    Nimeamini kweli kunawatu wanatumika vbaya, hv huyu musiba ndo nani hasa au na yy amekua mambe kimambi wa ccm? Membe kwan kafanya nn hasa
  2. Severino Rock

    Rais Magufuli: Kama una korosho na huna shamba hutalipwa

    Kuna mambo mengine serikali inabd ijifikirie kwanza kabla ya kutoa uamuzi, hv walewoote wenye mashine za kukobia mpunga pale chato wanamashamba ya mpunga? Mkulima anapolima mazao yake hua anategemea kuuza hayo mazao je hua anawauzia wenye mashamba? Au hii ni nia ya kutapeli watu kwa kisingizio...
  3. Severino Rock

    Natafuta mchumba baadaye kuwa mme

    Nadhan ningefaa hata mm ila hapo kwenye rangi ndio nimekua discolify ILA USICHOKE ENDELEA KUPAMBANA
  4. Severino Rock

    Tujuzane bei ya mafuta ya kula huko ulipo

    Duh hapo ndipo hua nakumbuka kwetu KIGOMA maana kule hua tunatumia mawese tu yaani kipimo hua kinaanzia sh 100 na unaunga maharage yako swaaafi kabisa ila huku ugenn twataabika tu..... Kufahatufi ila mazngaombwe tutaendelea kuyaona.
  5. Severino Rock

    Omba Mungu akupe bahati katika maisha vingine vitakuja vyenyewe

    Ukitegemea kuajiliwa mzee kwa ss itakula kwako, na hii yote ni kutokana na mfumo mbaya wa elimu etu. Elimu tuipatayo ni ile inayotufanya tufkirie kuajiliwa ila c kujiajili, nakumbuka miaka ya nyuma shule zlikua na mashamba mifugo na hata kuku hivyo vyote humfanya mwanafunzi pindi amalizapo shule...
  6. Severino Rock

    Wangapi mmekutana na huu ujumbe?.

    Mwenyewe nimekutana nayo hio sms na nikajarbu kumpigia ila hakupokea cm , na no aloitumia ilikua ya halotel
  7. Severino Rock

    Hali siyo nzuri kwa wafanyakazi kwenye viwanda vya mafuta ya kula

    Hiii itakua kisingizio et nafanya diet duuuu
  8. Severino Rock

    Hali siyo nzuri kwa wafanyakazi kwenye viwanda vya mafuta ya kula

    Hiyo ishatokea tayari tumeanza kuona kupanda kwa bei ya mafuta na sukari
  9. Severino Rock

    Usimvue nguo mumeo

    Nimeipenda sans hii maana ni bonge la fundisho
  10. Severino Rock

    Ni kweli Simba ina thamani ya bilioni 20?

    Unajua watu tunashindwa kulewa Mo kaeleza vzur mpango ake ila watu bado hawajamuelewa kaeleza hzo 20 bill anazotaka kuwekeza kwa simba sc kwamba anawapa viongozi ila itakua ataikopesha serikal na kila mwaka simba itakua inapata gawio la billion tank kama faida na hizo ndizo zitakazotumika kwa...
  11. Severino Rock

    Kila Kadi ya Simu ya Mkononi Kutozwa TShs. 1,000 Kwa Mwezi

    Kwetu tuliletewa mpaka Kodi ya maji yanayotiririka kutoka ardhn kwa hip mi cshangai kuletewa hip kodi tulipe tuu c ndio fikra za cc watanzania badala ya kufikilia vyanzo vingine vya mapato tunawaza kumuumiza huyu mwananchi wa chini ambae hajui hata cku ya Leo itaisha vp. Nakumbuka wakat wa...
Back
Top Bottom