Siku zote katika maisha yako kabla hujatenda kitu chochote, kabla hujasema kitu chochote, jiulize kitu unachotaka kutenda au kitu unachotaka kusema je, kitaleta matokeo chanya kwako au hata kwa wengine?
Sio kwa sababu unayo nafasi nzuri ya kutenda au kusema hiyo ikawa na maana kwako ufanye au...
BUNDI ni aina ya ndege ambaye hula nyama; hufanya mawindo yao wakati wa usiku na kupumzika wakati wa mchana. Pamekuwepo na imani kwa wengi kwamba bundi anaponekana nyumbani kwa mtu ni lazima kuna mtu atakufa katika nyumba hiyo. Hivyo imewapelekea watu wengi kuwa na hofu kubwa sana juu ya kiumbe...
TAARIFA KWA UMMA.
Hii taarifa ya Voda (kuzungusha gurudumu, ili ushinde zawadi) imesambaa sanaaa .Hawa ni matapeli, usijaribu kuingia kwenye account hiyo na kuweka details zako utaweza kudukuliwa mambo taarifa zako muhimu.Hivyo itakufanya utapeliwe!!
Sambaza kwa wengine, Utawasaidia!
Ahsante!
Hivi kuwa na hela kuliko jirani ni kosa? [emoji137]
Ama vipi apewe nchi yake.
Yawezekana ana hela kuliko kutokana na vyanzo alivyo navyo na kunilea haizuii kutokuzidi elimu. Na inategemea na vyanzo alivyo jipanga.
Labda serikali ihusike kumuelimisha jinsi ya kutumia hela yake ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.