Wabakaji wa demokrasia ni hawa mamuluki wanaondoka sasa... Ondokeni makapi nyie, wananchi waliwaamini sana kumbe nyie ndo walewale wagoa kucha za wadai demokrasia ya kweli....
Lakini nawe zzk tulia, waheshimu viongozi wako, hudhuria kwenye maswala ya chama, hakuna ulichowahi kuibua kikatekelezeka bali ni kujipatia umaarufu tu wewe, so mimi nakushauri ucwe km shibuda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.