Recent content by setz luckystar

  1. setz luckystar

    Kama huna elimu ya juu mafanikio utayasikia tu kwenye tv

    hutakiwi kua na chochote km ishara ya mafanikio zaid ya Maendeleo.
  2. setz luckystar

    Ushuhuda wa uwepo wa mali za Kijerumani

    Kwa uelewa wangu, mimi nimeona mfano wa bracelet na Heren idk bt the point ni kila kitu kina thamani kwa Eneo husika.... Unaweza ukawa na saa ya miaka 300 ilyochakaa na isionekana thaman yake ktk maduka ya Vito ila thamani yake itkuwepo ktk majumba ya makumbusho ( museum )
  3. setz luckystar

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wazo lako ni zuri pia, Vijana wengi tunashindwa kujikita ktk biashara kwa kutaka kuanza Pakubwa bila kuptia padogo kwanza... Mi npo Dsm mtaji wa laki 2 nlianza kununua kuku wa kienyej kifaranga k1 elfu 20 * 50 ... Hawana gharama kama kuku wa kizungu, nahisi gharama kubwa zaid ni eneo tu kama...
  4. setz luckystar

    Binti wa namna hii unamfanyaje?

    Ama ni yeye jamaa hajiamin, haiwezkan Ashindwe kupima Afya kukosa anachotaka.. MiMi nlishawahi kudate na nurse wa hospital, tulivyokutana hata kabla ya french kiss alkuja na HIV test na tukapima wote afta while majibu yaltoka Vzur akaruhusu mechi ichezeke ingawa na Kinga ili kuzuia magonjwa...
  5. setz luckystar

    Naomba ushauri wa namna ya kumkwepa huyu binti

    First, umekosea sana kum-promise as utamuoa wakat huwez kukeep that promise.. just wait for Karma, What goes always comes back.
  6. setz luckystar

    Binti wa namna hii unamfanyaje?

    brother, Sizani kama ingkua rahisi kwa yeye kukataa pesa.. Pesa zinalimit pia, Uez nunua roho ya mtu....Inadhihirisha wazi as anajali Afya yake kulko io pesa unayompaga, mridhishe kwa kupima coz io ndo sababu ya msingi then anglia atkuja na kcngzio gan kingine
Back
Top Bottom