Hiki ni miongoni mwa vyuo vyetu muhimu vya kupika wataalamu wa fedha ikiwemo wahasibu na wakaguzi wa hesabu, wataalamu wa manunuzi, maboharia na kada zingine zinazohusiana na usimamizi wa fedha
Inawezekana sio upigaji ila pengine kuna hoja za kiuhasibu zinatakiwa kujibiwa. Sasa kwa watu...
Nadhani tatizo liko kwenye muundo na inaathiriwa zaidi na mambo ya siasa
Unajua CEO, Mwenyekiti wa Bodi na Bodi yenyewe wanateuliwa kisiasa? Hali iko hivyo kwenye mashirika yote ya uma
Mabadiliko inabidi yaanzie kwenye sheria zetu(au katiba nadhani). Ni vizuri mashirika ya uma yakaendeshwa nje...
Mkuu kavulata madawa ya kulevya hapana😃😃😃. Bado tunamkumbuka aliyekua Kocha wetu wa makipa Muharam Sultan anasota gerezani mwaka wa tano sasa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
Nakubaliana na wewe kua Simba (na hata Yanga) ni dude kuubwa na ina ushawishi mkubwa kiasi hata...
Haya mambo yanafikirisha sana. Sasa hata kama kweli kaichafua hiyo kampuni inahusiana vipi na polisi? Polisi haishughulikii kesi za madai.
Ikiwa kuna issue ya kuharibiwa brand au kukashifiwa, anayedhani ameathirika anatakiwa akafungue kesi ya madai mahakamani na yeye ndio atakua na jukumu la...
Hapana Mkuu sikua na maana ajishushe kwa viwango vyao. Nilichojaribu kumshauri na kwamba kabda hajalalamika kwanza awe mkweli kwa nafsi yake, ajikague yeye mwenyewe aone kama tatizo la huko kubaguliwa/kutengwa chanzo chake sio yeye?
Pili kama kila kitu kwake kiko sawa basi ajipongeze na wala...
Kuna jamaa aliwahi kunilalamikia kua ndugu zake na hata wazazi wake ni wa binafsi na anahisi kama wanamtenga kwenye mambo mengi
Hata hivyo watu tuliokua karibu nae tunamjua vizuri na ndugu zake walikua wakilalamika kua jamaa ndio mbinafsi wa kutupwa na kwa hakika yeye ndio anaewabagua ndugu...
Umuhimu wa mabadiliko ya katiba unakuja katika hitaji muhimu la kutanua wigo wa uhuru wa watu
Ni muhimu katiba ikatamka kua makosa yote yawe na dhamana. Kama kuna issue ya usalama wa mshitakiwa au maslahi mapana ya jamii kwenye suala la dhamana basi mahakama ipewe mamlaka ya kuamua kua mtu...
Sekioni Kitojo ndie aliyetangaza goli la pili la Stella Abidjan dhidi ya Simba pale Shamba la Bibi kwenye fainali ya Kombe la Abiola 1993
Jean Boli Zozo alikua kama anakaanga chapati wakati akimgeuza beki wa Simba Rashid Abdallah Magongo kabda ya kuachia shuti lililotinga nyavuni na kumuacha...
Shadeeya ni ile roho ngumu tu ya kujitutumua ila kusema ukweli na ndio uhalisia hakuna kitu pale
Viwango vya baadhi ya wachezaji wetu hasa wa Kimataifa tuliosajili msimu huu ni vya kawaida sana. Tusitarajie kufika mbali hasa katika michuano ya CAF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.