Recent content by Sesten Zakazaka

  1. S

    JamiiForums Tanzania PAC Yaibana Mzumbe: Yabaini Ukiukwaji wa Sheria Kwenye Manunuzi ya Bilioni 29.7

    Hiki ni miongoni mwa vyuo vyetu muhimu vya kupika wataalamu wa fedha ikiwemo wahasibu na wakaguzi wa hesabu, wataalamu wa manunuzi, maboharia na kada zingine zinazohusiana na usimamizi wa fedha Inawezekana sio upigaji ila pengine kuna hoja za kiuhasibu zinatakiwa kujibiwa. Sasa kwa watu...
  2. S

    JamiiForums Tanzania TTCL: Tatizo Sio Wafanyakazi, Tatizo Ni Maono.

    Nadhani tatizo liko kwenye muundo na inaathiriwa zaidi na mambo ya siasa Unajua CEO, Mwenyekiti wa Bodi na Bodi yenyewe wanateuliwa kisiasa? Hali iko hivyo kwenye mashirika yote ya uma Mabadiliko inabidi yaanzie kwenye sheria zetu(au katiba nadhani). Ni vizuri mashirika ya uma yakaendeshwa nje...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe PERCY TAU hana kazi je yule hatufai sisi SIMBA?

    Daaah, hii kali sana mkuu. Nimecheka kwa sauti
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe PERCY TAU hana kazi je yule hatufai sisi SIMBA?

    Anatufaa sana kwa ligi yetu. Tatizo dirisha lishafungwa na mchakato wa kutoa pesa bank ndio kimbembe😀
  5. S

    JamiiForums Tanzania MO haidai Simba hata shilingi moja, inamdai yeye

    Mkuu kavulata madawa ya kulevya hapana😃😃😃. Bado tunamkumbuka aliyekua Kocha wetu wa makipa Muharam Sultan anasota gerezani mwaka wa tano sasa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya Nakubaliana na wewe kua Simba (na hata Yanga) ni dude kuubwa na ina ushawishi mkubwa kiasi hata...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Muhindi wa Simba na mwenzie wahojiwa na polisi kwa kuichafua Kampuni ya Jayrutty, mzabuni wa Simba

    Haya mambo yanafikirisha sana. Sasa hata kama kweli kaichafua hiyo kampuni inahusiana vipi na polisi? Polisi haishughulikii kesi za madai. Ikiwa kuna issue ya kuharibiwa brand au kukashifiwa, anayedhani ameathirika anatakiwa akafungue kesi ya madai mahakamani na yeye ndio atakua na jukumu la...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa INEOS wanamtakia mema kweli Carrick na Man Utd yake?

    Kwamba pesa ziko bank?😀😃😄
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mnaweza vipi kuishi au kuwa karibu na ndugu au mzazi mwenye ubinafsi

    Hapana Mkuu sikua na maana ajishushe kwa viwango vyao. Nilichojaribu kumshauri na kwamba kabda hajalalamika kwanza awe mkweli kwa nafsi yake, ajikague yeye mwenyewe aone kama tatizo la huko kubaguliwa/kutengwa chanzo chake sio yeye? Pili kama kila kitu kwake kiko sawa basi ajipongeze na wala...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mnaweza vipi kuishi au kuwa karibu na ndugu au mzazi mwenye ubinafsi

    Kuna jamaa aliwahi kunilalamikia kua ndugu zake na hata wazazi wake ni wa binafsi na anahisi kama wanamtenga kwenye mambo mengi Hata hivyo watu tuliokua karibu nae tunamjua vizuri na ndugu zake walikua wakilalamika kua jamaa ndio mbinafsi wa kutupwa na kwa hakika yeye ndio anaewabagua ndugu...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Umuhimu wa mabadiliko ya katiba unakuja katika hitaji muhimu la kutanua wigo wa uhuru wa watu Ni muhimu katiba ikatamka kua makosa yote yawe na dhamana. Kama kuna issue ya usalama wa mshitakiwa au maslahi mapana ya jamii kwenye suala la dhamana basi mahakama ipewe mamlaka ya kuamua kua mtu...
  11. S

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Upo sahihi kabisa Mkuu. Mzee Mic pamoja na Charles Hillary ( R. I. P) walienda kuanzisha Radio One mwanzoni mwa 1994
  12. S

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Sekioni Kitojo ndie aliyetangaza goli la pili la Stella Abidjan dhidi ya Simba pale Shamba la Bibi kwenye fainali ya Kombe la Abiola 1993 Jean Boli Zozo alikua kama anakaanga chapati wakati akimgeuza beki wa Simba Rashid Abdallah Magongo kabda ya kuachia shuti lililotinga nyavuni na kumuacha...
  13. S

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Ni kweli alikua chain smoker lakini aliacha kuvuta sigara katika utu uzima wake na akawa swala tano
  14. S

    JamiiForums Tanzania Leo ndio siku ambayo Ibrahim Doumbia anaenda kusimika ufalme wake wa soka duniani

    Shadeeya ni ile roho ngumu tu ya kujitutumua ila kusema ukweli na ndio uhalisia hakuna kitu pale Viwango vya baadhi ya wachezaji wetu hasa wa Kimataifa tuliosajili msimu huu ni vya kawaida sana. Tusitarajie kufika mbali hasa katika michuano ya CAF
  15. S

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Kama refa ni Aragija majanga
Back
Top Bottom