Recent content by Sesten Zakazaka

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank

    Get rich or die trying
  2. S

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Ilishawahi kutokea 1984 wakati aliyekua Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe Mwinyi alipoitwa Dodoma na kulazimishwa kujiuzulu vyeo vyake vyote. Wakati anataka kupanda ndege kurudi Zanzibar "akaombwa" na Rais Nyerere ambaye pia alikua Mwenyekiti...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Punyeto inafariji mno¡¡¡

    Kuna yule Sophia wa mtongozo. Jamaa anaweza akaomba namba ili ampunguzie bugudha RC
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kulikoni tena mbona mapema sana tumeanza Kumlaumu huku tulishamsifia mno kuwa bonge la Kocha mpiga miti?

    Tatizo kila mshabiki Bongo ni kocha. Sasa jamaa hataki kukubali sub za mwalimu alizozifanya kitaalamu tena kwa kushirikiana na wataalam wenzake kwenye bench la ufundi?!!
  5. S

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Kwa score hii game over
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mwalimu mkuu na mhasibu wake watupwa jela kwa MAKOSA ya rushwa

    Watu hawaelewi tu lakini Katika taasisi za uchunguzi zinazo onea sana watu hasa wa hali ya chini ni hao TAKUKURU Inashangaza kuona kila kiongozi wa kisiasa akikuta kuna changamoto katika miradi ya serikali/umma utasikia anatoa amri kwa TAKUKURU kuchunguza na kuchukua hatua Hawa jamaa namna...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Hahahaaa, mjeshi hakimbii vita Mkuu Tumuombee Mungu isijekua kakutwa na majanga akiwa katika harakati za kupambania ugali wa familia yake kubwa
  8. S

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    DGIS hajaitwa. Mahakama ilikataa, Summoms zimetolewa kwa CDF, IGP na DCI nadhani
  9. S

    JamiiForums Tanzania Lissu inabidi aukatie rufaa uamuzi mdogo ili mashahidi muhimu anaowataka waje mahakamani

    Uamuzi mdogo ambao haumalizi kesi ya msingi haukatiwi rufaa Chief
  10. S

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Uamuzi wa mahakama wa aidha Rais Samia, Philip Mpango (VP mstaafu) na Kassimu Majaliwa (PM mstaafu) waitwe kumtetea Lissu au la..

    Kukatia rufaa maamuzi madogo sheria hairuhusu kama jambo linalokatiwa rufaa kwa asili yake haliwezi kumaliza kesi ya msingi
  11. S

    JamiiForums Tanzania Uchawà kazi kweli kweli.

    Mkuu Tindo kanzu sio vazi la Waislam pekeyao. Kanzu ni vazi la heshima kwa watu wote na wakati wote kama ilivyo suti Wahaya na Waganda kwa mfano kanzu huvaliwa na watu wote bila kujali dini zao likiwa ni vazi rasmi la heshima na taadhima kwao ambapo hata katika maharusi na misiba ya watu wa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Albert Chalamilal

    "Cogratulation for your nomination" Ndio tafsiri yake kutoka kwenye Kilatino. Au mleta uzi katuletea ujumbe kinyume chake?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Bei za nyumba zinazojengwa na Real Estate Developers Tanzania hazina uhalisia na ni kubwa sana kwa wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wengi katika taifa hili kuweza kuzimidu Unashangaa hata National Real Estate Developer(NHC) nae ameingia katika biashara ya kuuza nyumba za makazi kwa...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Fulana za kumbukumbu ya mauaji ya Tundu Lissu zagombewa kama njugu, zamalizika sokoni kwa muda mfupi

    Kichwa cha uzi ingekua "kumbukumbu la jaribio la mauwaji"na si "kumbukumbu ya mauwaji"maana muhusika hakufa kwenye tukio lile
  15. S

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Hiyo ndio imekua style ya uchezaji wa timu yangu pendwa kwa muda sasa tena hasa ikiwa katika majukumu ya kimataifa Tunahitaji wachezaji wenye ubora zaidi wenye uwezo wa kuifikisha timu mbali
Back
Top Bottom