Ilishawahi kutokea 1984 wakati aliyekua Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe Mwinyi alipoitwa Dodoma na kulazimishwa kujiuzulu vyeo vyake vyote.
Wakati anataka kupanda ndege kurudi Zanzibar "akaombwa" na Rais Nyerere ambaye pia alikua Mwenyekiti...
Tatizo kila mshabiki Bongo ni kocha. Sasa jamaa hataki kukubali sub za mwalimu alizozifanya kitaalamu tena kwa kushirikiana na wataalam wenzake kwenye bench la ufundi?!!
Watu hawaelewi tu lakini Katika taasisi za uchunguzi zinazo onea sana watu hasa wa hali ya chini ni hao TAKUKURU
Inashangaza kuona kila kiongozi wa kisiasa akikuta kuna changamoto katika miradi ya serikali/umma utasikia anatoa amri kwa TAKUKURU kuchunguza na kuchukua hatua
Hawa jamaa namna...
Mkuu Tindo kanzu sio vazi la Waislam pekeyao. Kanzu ni vazi la heshima kwa watu wote na wakati wote kama ilivyo suti
Wahaya na Waganda kwa mfano kanzu huvaliwa na watu wote bila kujali dini zao likiwa ni vazi rasmi la heshima na taadhima kwao ambapo hata katika maharusi na misiba ya watu wa...
Bei za nyumba zinazojengwa na Real Estate Developers Tanzania hazina uhalisia na ni kubwa sana kwa wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wengi katika taifa hili kuweza kuzimidu
Unashangaa hata National Real Estate Developer(NHC) nae ameingia katika biashara ya kuuza nyumba za makazi kwa...
Hiyo ndio imekua style ya uchezaji wa timu yangu pendwa kwa muda sasa tena hasa ikiwa katika majukumu ya kimataifa
Tunahitaji wachezaji wenye ubora zaidi wenye uwezo wa kuifikisha timu mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.