Maskini Kamanda Mpinga aliyekua RPC Mbeya aliwahi kutolewa kafara na Mwendazake kwa kushushwa cheo. Kisa ni kwanini hakukagua gari lililotokea Tabora na kuja kupatia ajali Mbeya usiku mwingi kwa ku fail brake!!!
Marehemu alikua akitaka kula kichwa chako basi atakutafutia lolote la kukutosha na...
Tanga kunani pale?
Nakumbuka enzi hizo kuna mchezaji mpira maarufu sana wa Coastal Union ya Tanga wana Maangush tulikua tukiaa nae jirani, katika mojawapo ya barabara za Tanga
Siku moja alirudi nyumbani kwake ghafla na akamkuta mkewe yupo na njemba na wakiwa chumbani kwake, kwenye kitandani...
Wabongo aisee!!!
Siku za nyuma kuna abiria mmoja kutokea Bongo aliingia matatizoni baada ya kulazimisha busu na kumbato(hug) kutoka kwa air hostess wa ndege ya Emirates iliyokua ikienda Marekani
Jamaa alielewa vibaya kule kuchekewa chekewa na air hostess kua labda demu kamzimia asielewe yale...
Ni miradi mizuri na muhimu sana kwa nchi. Jambo la muhimu ni kudhibiti tu mchwa wala fedha za umma maana kwenye miradi ya maji ndio kuna upigaji wa kiwango cha SGR
Ni mgogoro na vurugu za kutengenezwa kwa makusudi. Imepengwa iwe hivyo kwa nia na madhumini mengine kabisa na watu wazima are dancing to the tune. Nchi inaulinzi barabara kabisa hii😀😀😀
Mkuu, unazungumzia kuchukua kombe wakati hata hiyo hatua ya makundi hatujavuka?
Kuna wachezaji kadhaa hawana hadhi ya kuchezea Simba kwa ngazi ya kimataifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.