Recent content by Sesimba

  1. S

    Mgodi wa Gukona umekuwa ni msiba kwa wakazi wanaozunguka mgodi huo

    Mnamo tarehe 17 Desemba 2023 Majira ya saa 10 jioni Kijana Ryoba Kisire Kisire alipigwa Risasi na Polisi wanalinda eneo la mgodi huo na Kufariki wakati akipatiwa matibabu hospital ya Nyamwaga Halmashauri ya Tarime Vijijini. Mazishi yanafanyika leo tarehe 18 Desemba Kitongoji cha Ntarechagini...
  2. S

    Tuliposema hatukueleweka. Sasa tumekuwa wahitaji

    Kweli, hebu fikiria nahangaika Mwenyewe lakini ikifika wakati wa mavuno Serikali inaingilia Kati ambo ya stakabadhi ghalani na mwisho mkulima anadhurumiwa
  3. S

    Tuliposema hatukueleweka. Sasa tumekuwa wahitaji

    Hawawezi sababu wengi wanosimamia idara ya kilimo wote wapigaji so hawezi kutoa ushauri wakati wao ndo wa wanaotaka kufanya biashara
  4. S

    Tuliposema hatukueleweka. Sasa tumekuwa wahitaji

    Haya Ni maswali muhimu na magumu labda tumuulize PhD Mwigulu Nchemba [emoji23][emoji23][emoji23]
  5. S

    Tuliposema hatukueleweka. Sasa tumekuwa wahitaji

    Hao waliomshauri Rais ndiyo wafanya biashara wenyewe
  6. S

    Rais Samia tafadhali acha kumnanga kila mara kimafumbo Hayati Dkt. Magufuli

    Wala msimlaumu Samia! Ninyi mnadhani alikuwa na kauli ya ushauri kwa Magufuli? Au mnajisahaulisha! Yeye amesema na hiyo ndiyo changamoto anayoiona kwamba kumbe watu walifanya kazi kwa uoga na siyo kimfumo kutokna na career Zao. Anachojaribu kusema kwamba civil servant wanatakiwa kufanya kazi...
  7. S

    Kwanini magazeti ya Serikali na CCM hayaripoti kesi ya Mbowe?

    Kesi hii itafundisha mengi kwa wananchi Mambo ya CR, PGO, notebook na utaratibu mzima tungeujulia wapi? Tulishazoea kukamatwa kwa virungu bila hata kuulizwa! Waandishi wa habari wamekuwa wa michongo
  8. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi kwanini Masasi mmetuondosha kwenye umeme wa gas na kutuwekea umeme w grid ya Taifa inayotoka Makambako ambapo umeme unasumbua hivi? Na unasababaisha maji kutokutoka na wananchi sisi tunahangaika!?
  9. S

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Ukweli Ni kwamba ninyi idara za maji mmekuwa siyo wabunifu! KWELI mnashindwa Kuandaa mkakati wa kuvuna maji kwenye maeneo ambayo maji yanasumbua Kama Newala? KWELI mnashindwa kufanya project ya kuvuta maji mto Ruvuma ili kusambaza maji kwenye Mkoa MZIMA wa Mtwara na hata Mikoa Jirani? Watu...
  10. S

    MSAADA WA KURUDISHA FILE ZILIZOPOTEA WAKATI WA KUPIGA WINDOW KWENYE PC

    Wanajukwaa salaam! Naomba msaada na muongozo wa namna ya kurudisha file zimepotea wakati napiga window nilisahau zilikuwa kwenye Desktop nikasahau ku copy kwenye Disk hasa Ni vitu vya muhimu Sana naomba msaada wenu wanajukwaa. Nafahamu hapa huwa hakishindikani kitu.
  11. S

    Polisi Masasi, ni wakati wa kuwaonesha maovu yenu

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  12. S

    Polisi Masasi, ni wakati wa kuwaonesha maovu yenu

    Ndugu acha nijusamehe Sana Hebu fanya kwamba wewe ndiyo umemkuta mkeo analiwa na jamaa umeamua kusamehe kwa nmna fulani Halafu u akamatwa Tena wewe , mkeo na Ndugu yako mnawekwa ndani ungejisikiaje? Tusiongee tu kwa kuwa yamemkuta mwenzio.
Back
Top Bottom