Ha
Mfalme Sauli pia alipakwa mafuta, na ufalme wake ukakataliwa na ukafutiliwa mbali na aliyempaka hayo mafuta. "Graces which one receves from being anointed do neither modify nor distort one's free will." Anaweza pia kufanya makosa makubwa na kuharibu kabisa.
Umeshindwa kuwa objective ili...
Kwani katoliki wanashindana?
Nyimbo katoliki zinakanuni hazitungwi ili kushindana na kundi lingine. Matokeo yake vionjo visivyo vya kikatoliki vinaanza kuingiza.
Mimina umependewa lakini ni Kwaajili ya matamashani zaidi, Hauna naafasi kwenye maadhimisho ya Liturujia. Mara nyingi nyimbo hizi...
Kama unamfahamu na unakaa naye mtaa mmoja umeshindwa nini kumkaribia kumuuliza pengine hata kumsaidia Kwa namna Moja au nyingine.
Maana watu wanatembea wakiwa na mzigo mzito au kufumbwa hawajui pakutokea wanahitaji msaada Toka nje kuwanasua kusonga mbele.
Sasa yakibakia humu ulimoyaleta...
Una reasoning mbovu sana juu ya pedagogy.
Mtoto hawezi achwa asifundishwe eti asubiri akuwe ndio afundishwe. pedagogical psychology haifanyi kazi hivyo.
Mtoto anafundishwa si kwasabu hawezi kureson ila ana haki ya kujifunza (right to education). Umri Fulani ukipita uwezo wa kujifunza...
How stupid are you now?
Unataka umfundishe mtoto habari ya kiroho akiwa Mzee kama shule tu tunaanza miaka mitatu. Don't you know that human being is the spiritual being Toka tunboni?
Katika Kanisa katoliki faith na reson havitenganishwi wanaita "fides et ratio" ndio maana Huwezi kuwa Padre bila...
Dini inayokosa Dogma inaruhusu chaos Kila mtu kwake anamafundisho yake. Sasa goal yake nini au ni kichaka tu kisicho amini chochote? "Hata kusema Mungu ndiye muumba wa vitu vyote" hii ni Dogma, sio person opinion katika dini.
Tafsiri yako kuwa dogoma ni forced and absurd belief. Haupo sahihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.