Recent content by Servus

  1. S

    JamiiForums Tanzania Makonda anautaka sana Uwaziri wa Mali Asili na Utalii. Mabdailiko yajayo huenda ikawa hivyo

    Ha Mfalme Sauli pia alipakwa mafuta, na ufalme wake ukakataliwa na ukafutiliwa mbali na aliyempaka hayo mafuta. "Graces which one receves from being anointed do neither modify nor distort one's free will." Anaweza pia kufanya makosa makubwa na kuharibu kabisa. Umeshindwa kuwa objective ili...
  2. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Naamini Vifo vya Oktoba 29 vilikuwa vingi zaidi kuliko wanavyosema

    Unapambana aisee, hongera!
  3. S

    JamiiForums Tanzania *MIMINA -catholic song..is a master piece!!!

    Kwani katoliki wanashindana? Nyimbo katoliki zinakanuni hazitungwi ili kushindana na kundi lingine. Matokeo yake vionjo visivyo vya kikatoliki vinaanza kuingiza. Mimina umependewa lakini ni Kwaajili ya matamashani zaidi, Hauna naafasi kwenye maadhimisho ya Liturujia. Mara nyingi nyimbo hizi...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Miaka mitatu ya DP World: Wale bendera fuata upepo, mtupe faida za mradi

    Biashara zipi hizo?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Kwa namna mambo yalivyo tokea, haijapata kuwa hivi. Kule si kufanikiwa Katika namna halisi ya kufanikiwa. The situation is not yet settled at all.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Kama unamfahamu na unakaa naye mtaa mmoja umeshindwa nini kumkaribia kumuuliza pengine hata kumsaidia Kwa namna Moja au nyingine. Maana watu wanatembea wakiwa na mzigo mzito au kufumbwa hawajui pakutokea wanahitaji msaada Toka nje kuwanasua kusonga mbele. Sasa yakibakia humu ulimoyaleta...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Dioniz Kipanya alipotea aliporekodi video ya msafara mrefu ziara ya Rukwa. Leo mnamsikiliza baada ya kumchinja?

    Yes ikitokea watu wa hiyo mikoa wakidai haki zao za msingi wapuuziwe kwasababu ya coverage ya media market kuwa ndogo kwao?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Dioniz Kipanya alipotea aliporekodi video ya msafara mrefu ziara ya Rukwa. Leo mnamsikiliza baada ya kumchinja?

    Inamaana waliopembezoni ya nchi ni wa maporini, sauti zao hazina matokeo wala maana yoyote katika jema au zuri?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Naona mpasuko mkubwa wa mahubiri kwenye nyumba zetu za ibada kati ya mashehe, wachungaji/mapadre na Serikali

    Kwahiyo inatekeleza matakwa ya mwanzilishi wake na boss wake aliyerithi baada ya Nyerere.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Lucy Michael na wenzake wafanikiwa kudhibiti mipango ya Fr. Kitima na Askofu Ruwa’ichi kuingiza siasa za CHADEMA ndani ya kanisa Katoliki

    Man is political being by nature! Practicing politics is neither more nor less than actualizing oneself to one's nature.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    😆😆😆😆😁
  12. S

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Ad hominem!
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hizi Dogma ni hatari kwa mtoto wa kiafrika

    Una reasoning mbovu sana juu ya pedagogy. Mtoto hawezi achwa asifundishwe eti asubiri akuwe ndio afundishwe. pedagogical psychology haifanyi kazi hivyo. Mtoto anafundishwa si kwasabu hawezi kureson ila ana haki ya kujifunza (right to education). Umri Fulani ukipita uwezo wa kujifunza...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hizi Dogma ni hatari kwa mtoto wa kiafrika

    How stupid are you now? Unataka umfundishe mtoto habari ya kiroho akiwa Mzee kama shule tu tunaanza miaka mitatu. Don't you know that human being is the spiritual being Toka tunboni? Katika Kanisa katoliki faith na reson havitenganishwi wanaita "fides et ratio" ndio maana Huwezi kuwa Padre bila...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hizi Dogma ni hatari kwa mtoto wa kiafrika

    Dini inayokosa Dogma inaruhusu chaos Kila mtu kwake anamafundisho yake. Sasa goal yake nini au ni kichaka tu kisicho amini chochote? "Hata kusema Mungu ndiye muumba wa vitu vyote" hii ni Dogma, sio person opinion katika dini. Tafsiri yako kuwa dogoma ni forced and absurd belief. Haupo sahihi...
Back
Top Bottom