Recent content by Servus

  1. S

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Kwani TEC ni chama Cha siasa? Unayafahamu majukumu msingi ya mabaraza ya maaskofu katoliki yaliyopo duniani na namna yanavyoundwa? Msingi wa BAKWATA ni sawa na TEC mpaka ulinganishe?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

  3. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Unatafsiri Kanisa kama nini,? Unaijua historia ya Kanisa? Unadhani mpaka leo ni kipi Kanisa halijapitia mpaka Karne hii mpaka libabaike toka Kwa papal state mpaka Vatican city unadhani Kuna kipya gani ndugu?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wakenya: Serikali ya Tanzania imepoteza mabilioni ya pesa kwa watu kutokufanya kazi Julai 7, 2026

    Sema ni siku baadhi ya wafanyakazi wa umma kutoenda sehemu rasmi ya vituo vyao vya kazi na wanafunzi kutoendelea na vipindi lkn shughuli nyingine ziko palepale. We huoni tofauti hapo
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo na msabato ni 60% percent kuhusu siku ya sabato na 40% ni kuhusu wakatoliki. Mind you haumjamuuliza chochote kuhusu sabato au wakatoliki

    Ukweli ni kitu gani Yesu alimwambia Pilato "alikuja ulimwenguni ili ashuhudie ukweli", ndipo Pilato akamwambia Ukweli ni kitu gani hakujibu. Tuambie wewe tafsiri ya ukweli, ukweli ni kitu gani? Maana Kristo ni mmoja ila madhehebu mbalimbali wote wanaangaika na hiyo tafsiri ya ukweli huku...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo na msabato ni 60% percent kuhusu siku ya sabato na 40% ni kuhusu wakatoliki. Mind you haumjamuuliza chochote kuhusu sabato au wakatoliki

    Yesu aliambiwa na Pilato ukweli ni kitu gani akakaa kimya. Haya wewe tuambie ukweli ni kitu gani?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mtanzania Mzalendo nawaasa wa Tz 🇹🇿 tukubali tu

    Kuona mambo kama yalivyo Katika katika kipimo kipi? wakati mapambano katika jambo lolote ni subjective issue. Wewe unawezaje kuweka mipaka Kwa watu wote waliopo na wajao Kwa kufwata pale akili yako ilipofikia tu? Licha ya kuwa Kila dakika mambo yanabadilika hakuna linalobaki vilevile. Ok ukitoa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mtanzania Mzalendo nawaasa wa Tz 🇹🇿 tukubali tu

    Kuona mambo kama yalivyo Katika katika kipimo kipi? wakati mapambano katika jambo lolote ni subjective issue. Wewe unawezaje kuweka mipaka Kwa watu wote waliopo na wajao Kwa kufwata pale akili yako ilipofikia tu? Licha ya kuwa Kila dakika mambo yanabadilika hakuna linalobaki vilevile.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mtanzania Mzalendo nawaasa wa Tz 🇹🇿 tukubali tu

    Umetumbukia mtoni Kwa mashindano ya kuogelea umepambana na dhoruba umechoka unatoka kwenye mashindano mara unataka mto ukauke mashindano yasiwepo tena kwani wewe na kizazi chako ndio kipimo Cha mashindano? Udhani hayo ni mawazo sawasawa au ubinafsi, au ni uvivu, au kukosefu wa upeo na maono tu?
  10. S

    JamiiForums Tanzania KKKT imekuwa lango wa Serikali kujisafisha, kanisa limepoteza mwelekeo wake wa kiimani

    Kivipi wanaabudu sanamu?
  11. S

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Prof Mussa Assad: Kuna Waziri Kijana ana ukwasi wa kutisha miaka mitano tu madarakani!!

    Moshi ufukapo... , si bure 😢
  12. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Hamna kitu unaweza elewa Madrasa is not a school. Bye
  13. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Nonsense 🚮 Madrasa sio shule Go to school.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Umechagua kutokuelewa sio. Calendar hii imeanza hata Kabla Yesu hajazaliwa na Kaizari Julius. Alichofanya Gregory ni kurekebisha tu calculations ya siku Moja kupote baada ya mzunguko wa miaka 128. Sasa hapo unauhusianaje na Imani. Nini uelewi hapo
Back
Top Bottom