Recent content by SeriaJr TW

  1. SeriaJr TW

    Maasai Community from Ngorongoro Expresses Gratitude to President Samia for Relocation Program to Msomera

    As I remember, the refere Samia lamented by herself that the main reason for his government to relocate the Maasai people of Ngorongoro is just what she said to je "overpopulation" and not what you ate now trying to foolish us. There is no voluntary move amidts village cancellation
  2. SeriaJr TW

    Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

    Kwamba hao nyani wakirudi tena wataikosa Tanzania!? Vere irelevanti comparison.
  3. SeriaJr TW

    TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare

    Chama cha mawakili Tanganyika (TLS) kimepata pigo baada ya aliyekuwa mwanachama cha Chama hicho wakili Loomu Ojare kufariki dunia ghafla akiwa kazini. Ojare alifariki dunia na kuzikwa nyumbanj kwake mapema skku kadhaa zilizopita baada ya kuugua ghafla akiwa kazini na hivyo kuacha pengo kubwa...
  4. SeriaJr TW

    Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

    Unataka kuniambia Polisi, Speaker, na Serikali ya CCM wanabaka Katiba kupambana na kivuli? Nilifikiri wangekuwa wamerelax sasa na kuweka nne na sio kihangaika kuliko "walioisha" Miaka mitano siasa wamefanya CCM peke yao, wamewafunha magerezani, Wamemunua watu wao, wamefanua kila ujinga lakini...
  5. SeriaJr TW

    Kati ya Maendeleo na Demokrasi kipi kiwe kipaumbele cha Tanzania?

    Hili swali linaweza kuulizwa na taahira tu! Kajifunze kwanza Demokrasia na Maendeleo ujue tofauti au ufanano wake ndipo urudi kuuliza. Tafuta kitanu cha Nyerere, Freedom and Development kitakupa mwanga
  6. SeriaJr TW

    UK court approves Barrick Gold's takeover of Acacia

    Katika zile trilioni 425 jamaa wanagharamia usd 300mil tu ambayo mwanzo walidai ni kishika uchumba.. Wamegeula Hakuna kesi ya kusikilizwa Tanzania, tutanyongewa huko kwaabeberu. Bisheria vyetu vipya ni mpaka madini yaishe Hakuna kujisajili soko la hisa la Tanzania.. Ile 30% ya hisa kwa...
  7. SeriaJr TW

    UK court approves Barrick Gold's takeover of Acacia

    Asiyejua kusoma hata picha aangalie...
  8. SeriaJr TW

    UK court approves Barrick Gold's takeover of Acacia

    Mkiweza lutafsiri mrudi tena... Hata kile lishika uchumba hakipo..ndio sehemu ya malipo ya mavuno. Kilichotokea ni Acacia kufichwa ndani ya Barick.. Kuibiwa ni pale pale !! Waliosaini milataba ya kuibiwa ndio hao hao leo wanataka waonekane malaoka... Hakuna cha Noah wala kivuli chake.. Wajinga...
  9. SeriaJr TW

    Fatma Karume: Sheria inayokataza mapenzi ya jinsia moja imepitwa na wakati

    Manesi wana rekodi wa wamama wanaoingiliwa kinyume na maumbile.. wengi sana Mbona hao hawawi kero?
  10. SeriaJr TW

    Kama wabunge wa upinzani nao wanatafuna fedha za mfuko wa jimbo nani atakua kimbilio letu sisi wananchi

    Heche alimwambia nisikilizi nikujibu.. Akanyang'anywa mike
  11. SeriaJr TW

    TBC: Kongamano la watanzania waishio Marekani. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi mgeni rasmi

    Nilishindwa kumsikiliza kwasababu ilikuwa inarushwa na TBC nami situmii hiyo television ya propaganda za hovyo
  12. SeriaJr TW

    ARUSHA: Askari auliwa kwa risasi na askari mwenzie kisa wivu wa mapenzi

    MASHUHUDA WAELEZEA ASKARI MAGEREZA ALIVYOMUUA MWENZAKE _________ ASKARI magereza Faustine Masanja amemuua askari mwenzake Ombeni Mwakiyani kwa kumpiga risasi kichwani. Kamanda wa mkoani hapa, Charles Mkumbo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea leo majira ya asubuhi wakati wakiwa...
Back
Top Bottom