Sio ushirikina ni mafundisho tu akiyopewa, na zaidi ni mahaba aliyonayo kwako. Nanyie viumbe ni wa ajabu, mkipendwa, mkahudumiwa kama wafalme ndio mnakuja na sera hizo ooohh ushirikina, mwanamke akisema akuone kawaida tu again ooohh huyu mwanamke anadharau sana....sijui lipi tufanye roho zenu...
T
Tapeli wa mapenzi huyo...ukikubali kumpa kisambusa chako tu basi haja yake itakua imekwisha. Tena kwa usalama wako kaa mbali nae. Hongera binti kwa msimamo, u r a kind of a girl we want to hear about....Stay focused!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.