Recent content by Sennetsu

  1. S

    Spika Ndugai: Askari nikisema mbunge atoke akikaidi mpigeni nawaruhusu

    Kufungiwa mnaona haitoshi, sasa mnataka wapigwe. Miaka ile alipofungiwa zitto kwa kupaza sauti juu ya issues za buzwagi lazima ulishangilia... Ona sasa yameibuka tena, halafu mnayakana. Acha kuwa bendera, mara moja moja changanya na zako. Mkishawafungia then what? Uonevu upungue then watu...
  2. S

    Tanzania Tunahitaji Rais Mwanasheria

    Aaaaaah!. tunahitaji rais MKULIMA, tunahitaji rais MVUVI tunahitaji rais Mwanasoka. tunahitaji rais mwenyee.......... Kwa nini sio tunahitaji wananchi walio hivi au vile?. Tunahitaji wananchi wanaojitambua.
  3. S

    Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage: Ukiwa na vyerehani vinne hicho ni Kiwanda kidogo

    HUYU NAE AMEZIDI UKATUNI NA MANENO MINGII. KWA MAANA YA NCHI YA VIWANDA, WIZARA HII INAHITAJI WAZIRI ALIYE MTENDAJI ZAIDI.
  4. S

    Mheshimiwa rais, umechuma janga. Gwajima sio DUDE ila George H.W. Bush ni DUDE

    mleta mada acha woga na uchochezi kwa hili wote kwa pamoja tuwe upande wa Tanzania bila kuogopa lolote wala kujali kama tumekiuka taratibu sijui sheria. Haya mabwanyenye yametukalia sana. Kinachowaponzaga NYUMBU kwa SIMBA ni kukosa umoja na ubinafsi.Tumpe moyo rais wetu akomae nao hivyo hivyo...
  5. S

    Neno La Leo: Adam Malima Na ' Trigger Happy Police'

    Mimi naona police alionyesha udhaifu mkubwa kwa kuanza kulia lia/kusema maneno mengiii hata kushindwa kuzuia hasira. Suala moja, hajatii kamata peleka kituoni. Mengine ni uoga na kutojiamini na kujipendekeza kwa askari pindi wanapokutana na viongozi/viongozi wastaafu.
  6. S

    RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

    Kuuliza sio ujinga, haya majina uliyoyaweka "Aloysius Kibuuka Serunkuma Mujulizi" ndio yake anayotumia? Ni majina ya eneo gani hapa tz?, Maana yake nini, hasa Kibuuka na Serunkuma?. Ni mtz wa kuzaliwa au?. Aksante.
  7. S

    Yupi bora: Anayetuma Card kwa mpinzani wake au anayetuma Usalama wa Taifa?

    Kama ni kweli au hapana, hiyo ni issue nyingine. Lakini kuhusu kueleweka iko wazi kabisa. Soma tena. Uwasilishaji sio lazima uwe wa aina moja.
  8. S

    Swali la Lazima: Kwanini Mmiliki na Mkuu wa Shule ya Watoto Waliokufa Bado Wako Huru?

    Huyo afisa Elimu alikuwa anajishaua tu kwa kuwa limetokea baya. Siamini kama ana file la ruhusa/vibali vya namna hiyo ofisini kwake. Ukikagua vitabu vya wageni katika shule binafsi utakuta hawatembelei mara kwa mara. Since idara ya ukaguzi (ambayo iko chini ya wizara ya ELIMU) imekufa cha...
  9. S

    Msukuma adai wabunge walienda kwa waganga wa kienyeji

    UKIFIKA WAKATI KATIKA JAMII ZETU WENYE VISOMO VYA VIWANGO HIVYO WAKAWA AT LEAST 40% ITAKUWA LOGICAL KUWEKA SHERIA YA NAMNA HIYO. KWA NINI HAO WASOMI WANASHINDWA NA WASIOSOMA KATIKA KURA ZA MAONI NA KATIKA CHAGUZI MBALIMBALI? HATA HIVYO UKIJA NA FACTS KWAMBA WASOMI BUNGENI WANA UWEZO WA KUJENGA...
  10. S

    Tunaiomba Serikali itoe ufafanuzi kuhusu masuala ya Vyeti

    UNA HOJA YA MSINGI, lakini kabla ya kufikia huko, tuanze kwanza tukubaliane na kuipongeza serikali kwa kukunjua makucha walau kiduchu kwenye mambo ya msingi (ingawa hawajafika kote MAJESHI YETU, WANASIASA NA SEKTA BINAFSI). Duniani kote kila kitu tumeamua kukipa thamani (ya fedha halali) , na...
  11. S

    Waziri Mwakyembe: Msanii anayetaka kuzungumzia siasa, akagombee ubunge au udiwani

    malkia wa mipasho Khadija Koppa, Bila kujali itikadi za kisiasa tunampenda, tunamweshimu, twacheza nyimbo zake ingawa twajua ni mwana CCM na mwimbaji nyimbo nyingi za kuisifu CCM, kukandia na kutukana wapinzani.
  12. S

    Waziri Mwakyembe: Msanii anayetaka kuzungumzia siasa, akagombee ubunge au udiwani

    Siasa ni nini? siasa ni kilimo siasa ni uhai siasa ni watu siasa ni elimu siasa ni muziki.
  13. S

    Msaada: Nipo njia panda mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu niliyefoji cheti cha kidato cha nne

    ENDELEA KUONGEZA MAARIFA, HASA MAENEO YA UJASIRIAMALI. THEN UANGALIE ZAIDI UPANDE WA KUJIAJIRI, I HOPE HUKO HAWAHAKIKI VYETI. KAMA NAFSI ITAENDELEA KUKUSUTA KWA TENDO HILO ONANA NA MLEZI WAKO WA KIROHO KWA KITUBIO n.k USIACHE SHULE.
  14. S

    UTEUZI: Catherine Ruge(CHADEMA) ateuliwa kumrithi Dr. Macha(aliyefariki), Ubunge Viti Maalum

    Sidhani km ya mama Rwakatare ilikuwa hivyo hivyo. M/kiti wa UWT huwa ana nafasi kwenye ubunge wa viti maalum. Sophia Simba alipata ubunge wa viti maalum kwa kuwa m/kiti wa UWT. Sasa sijui kuhusu mama Rwakatare.
Back
Top Bottom