Recent content by Senior member1

  1. S

    Kama utawekeza juhudi sehemu ukiwa jasiri eneo fulani 95% then kwingine itaonesha udhaifu

    Survival of the fittest Mimi ni mwanabiologia Kama utawekeza juhudi sehemu ukiwa jasiri eneo fulani 95% then kwingine itaonesha udhaifu Every action there is equal and opposite reaction
  2. S

    Rais Magufuli: Ajira mpya zinaendelea, zilisimama kwa miezi miwili pekee

    Wakuu wa wilaya na wakurugezi nazo c ajira mbona au mnaona ni ujambazi
  3. S

    Ni aibu kubwa kwa tamasha la fiesta kushindwa kumleta msanii kutoka U.S.A

    Uchumi umebana eti watu wanabana matumizi............ni zama za kubana matumizi
  4. S

    Msaada: Nikiweka TBC 1 Mwanangu analia sana

    Peleka mtoto kanisani aombewe pia ebu jaribu kumuwekea video za wakubwa utaona anavyochekelea kuona mambo ya kishetani Tamaduni zetu zinavyunjwa kwa ushabiki channel nyingine zina mambo ya kizungu sana .....acha kumwalibu mtoto kwa kumuwekea picha za video chafu
  5. S

    Kampuni ya king'amuzi cha digitek imekufa?

    Kime ROONEY IBRAMOVICH POGBA RIP
  6. S

    Rais Duterte: Ufilipino haijavunja uhusiano na Marekani

    Rais Duterte: Ufilipino haijavunja uhusiano na Marekani Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesema havunji uhusiano baina ya nchi yake na Marekani, bali anatenganisha sera za mambo ya nje za nchi yake na zile za Marekani. Rais Duterte alitangaza juzi Alhamisi akiwa jijini Beijing nchini China...
  7. S

    Uharamia kutoka pwani ya Somalia umepungua kwa kiwango kikubwa katika miaka ya hivi karibuni

    Uharamia kutoka pwani ya Somalia umepungua kwa kiwango kikubwa katika miaka ya hivi karibuni Maafisa wa kimataifa wanoahusika katika majadiliano ya kufanikisha kuwachiwa kwa mateka wanasema mabaharia 26 waliokuwa wamezuiwa na maharamia wa Kisomali kwa takribana miaka mitano wamechiwa huru...
  8. S

    Kutoka Uwanja wa Namfua-Singida: Lazaro Nyalandu atangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania

    Nyarandu bado xana nimeona anauwezo wa kucheza club raha leo achukue form mwakani amecheza vizuri na miss Tz Faraja
Back
Top Bottom