Hata kama atakuwa mke wa mtu ukweli mume atapata shida anaweza letewa Power hadi kitandani Ki ukweli nampongeza kwa dhati kwa kuzaliwa kwake ingawa anapwaya akiwa single basi ajaribu mchepuko atakosa maaadili ya uongozi haha haha aende uSister
Kuna roho mtakatifu wa mungu sasa imehamia kwa roho mtaka vyeti vya bashite watu wa mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa ina maana hakuna wazee wa kanisa wa kumshauri? Ndiyo maana sipendagi viongozi Wasanii mpaka kwa mungu Hainaga mbaya mungu anakuona
Balance sheet it is impossible balance wana Ccm wameondoka na point Kama Simba wakicheza pungufu Sio Siri baadhi ya viongozi msio makini mnatuharibia chadema yetu tutakuwa hatufiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.