Recent content by seni Cheyo

  1. S

    Hemed Kivuyo wa ITV acha ushamba

    Mauza uza ya baadhi ya wabongo kulalamika tu mtangazaji anatumia sekunde kadhaa kati ya masaa 24 wewe imekua kero katangaze na wewe kama kipaji unacho
  2. S

    Hili gazeti la Kenya limemdhalilisha Rais Magufuli

    Next hapa kazi tu mpaka kieleweke
  3. S

    Happy Birthday to 39-year-Old Halima Mdee

    Hata kama atakuwa mke wa mtu ukweli mume atapata shida anaweza letewa Power hadi kitandani Ki ukweli nampongeza kwa dhati kwa kuzaliwa kwake ingawa anapwaya akiwa single basi ajaribu mchepuko atakosa maaadili ya uongozi haha haha aende uSister
  4. S

    Wanaompinga DC Makonda: Baada ya kweka kambi kijijini : wakosa ushahidi warejea jijini kimya kimya

    Akionyesha vyeti magazeti yatakosa Habari za kuandika hii ni Biashara
  5. S

    Kiongozi wa dini asiyejua kusamehe, vyeti vyetí mpaka lini

    Kuna roho mtakatifu wa mungu sasa imehamia kwa roho mtaka vyeti vya bashite watu wa mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa ina maana hakuna wazee wa kanisa wa kumshauri? Ndiyo maana sipendagi viongozi Wasanii mpaka kwa mungu Hainaga mbaya mungu anakuona
  6. S

    Harmorapa Fans' Special Thread...

    Vijimambo tu vya kumalizana kimuziki Personal issue
  7. S

    Ujio wa Wema Sepetu CHADEMA: Is She an Asset or a Liability? Mmeishaumwa na Nyoka, Hamjifunzi tu?!

    Balance sheet it is impossible balance wana Ccm wameondoka na point Kama Simba wakicheza pungufu Sio Siri baadhi ya viongozi msio makini mnatuharibia chadema yetu tutakuwa hatufiki
  8. S

    Kisheria, Paul Makonda asipofika Kamati ya Maadili nini kitatokea?

    Shule zinasaidiaga siasa si hasa
Back
Top Bottom