Recent content by Sengo5

  1. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania has started to build its own helicopters

    Excellent move
  2. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    Hili nalo neno Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
  3. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    Maafisa biashara DAWASCO wanapuuzia hili, lakini na wao ni majipu uchungu. Huwezi kuachia tu watu tukawa tunalimbikiziwa madeni yasiyo na mashiko. Kwa mazingira ya kawaida tu - mtu huwezi kutumia lita 10,000 kwa siku. Yaani hili nalo linahitaji kupuuzwa tu. Enough is enough now.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    Waziri mwenye dhamana na hili je, halioni kama ni tatizo? Au na yeye ndio jipu linasubiri kutumbuliwa?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    DAWASCO acha nao, sijui wanatumia systems gani kukokotoa hesabu zao. Jamaa nimemkuta akilalamika - bill waliyomletea ni juu sana manake by between tarehe 04 Mar, 2016 mpaka tarehe 05 Apri, 2016 ameonekana katumia 203 mita za ujazo ambazo ni sawa na lita 203,000 kwa siku 33. Lita 203,000 kwa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    1 cubic meter = 1000 ltrs. 203 cubic meters = 203,000 ltrs. Ukifanya hesabu za haraka kwa Mega SIMTANK say ya Lita 20,000 ni sawa na SIMTANKs 10. DAWASCO wanatisha na hesabu zao. Hatukatai kupanda kwa bei mpaka 1663, lakini usahihi/uhakiki huu wa hizi hesabu nani anapaswa kuwajibishwa? Jipu...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Bei ya Maji kwa lita 1000 imepanda

    DAWASCO acha nao, sijui wanatumia systems gani kukokotoa hesabu zao. Jamaa nimemkuta akilalamika - bill waliyomletea ni juu sana manake by between tarehe 04 Mar, 2016 mpaka tarehe 05 Apri, 2016 ameonekana katumia 203 mita za ujazo ambazo ni sawa na lita 203,000 kwa siku 33. Lita 203,000 kwa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nini gharama ya lita moja ya ujazo wa maji toka DAWASCO?

    Naomba jibu
Back
Top Bottom