Recent content by senetor sabo

  1. S

    Natafuta sehemu ya kuvolunteer kwa Tanga

    tan road tanga walikua wanahitaji watu wa bachelor sijui deadline ishapita au vip?pia jaribu kufika rhino cement mawen uone kama watakusikiliza hilo suala lako.
  2. S

    Wadau mwenye taarifa juu ya Frontier Data Corp

    poa tutapeana taarifa juu ya hao
  3. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    mbona twalazimisha kutapeliwa?maana kuna mwanajamii kafika hadi office za mcb wakamwambia hawajatangaza ajira wewe umekazana mwanza mwanza wale ni matapel shukur mungu hukuingia mkengee na achana na story zao.
  4. S

    Wadau mwenye taarifa juu ya Frontier Data Corp

    Wapendwa habarini za majukumu kuna hawa jamaa wa Frontier Data Corp walitangaza nafasi za Part Time Researcher kuhusu markertinga katika baadhi ya mikoa hapa nchini deadline ilikua tar 3 March. Vipi kuna mwenye taarifa juu yao.
  5. S

    Huu sio utapeli kweli?

    kwanza hongera kutambua hao jamaa kuwa ni matapel pili usijalibu kuwatumia hata cent moja.
  6. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    poa tutafahamishana
  7. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    sms ilinitaka nitoe laki tatu then nikiwa katika training sasa me sikuelewa nini kinaendelea ndo maana nakwambia tusubir tar 20 had kufika 1 mwez wa nne itafaahamika vizur
  8. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    kwel ulifanya ile aptitude test walotoa?
  9. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    me walinitumia sms kama wengine.
  10. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    lakin maelezo yalisema tar 20 vuta subira kidogo,ni kwel kama unavyoona post kwenye jukwaa hili ndivyo ilivyo.
  11. S

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    poa ngoja tuvute subira
  12. S

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    me nimetumiwa sms inayonitaka nitoe laki tatu then nipitishwe kwenye hiyo test sasa me nimepiga kimya nasubir tar 20 nioke ukwel wenyewe tutajua tu ukwel ni upi na kama ni matapel mbona mcb wapo na wanaona au vip
  13. S

    Jihadharini na huu Utapeli

    jamaa ndie assistance recrutment officer wa mcb kama tangazo la ajira lilivyo sema
Back
Top Bottom