Recent content by SENATOR WHITE

  1. SENATOR WHITE

    Ukweli mchungu ni kuwa Yanga havuki hatua ya makundi

    Kama kwel unajiamini na huo weledi wako wa hali ya juu, bas toa namba yako ya cm ili tutafutane iyo siku ikifika, ila usipotoa namba basi siwezi hata ku coment chochote make utakua unatafuta kick tu huna lolote
  2. SENATOR WHITE

    Liverpool FC wanataka kuja Tanzania, Serikali changamkieni

    Mi napendekeza Liverpool waje mwezi wa 7 tarehe 7(yaani kwenye sikukuu ya sabasaba) halafu waalikwe Pia na hao Manchestersaba Utd, then mechi irudiwe kwa mkapa. Kwa wale wateja wa magoli goli moja litanunuliwa Dollars milioni saba (7,000,000$)
  3. SENATOR WHITE

    Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mtanzania? Jina kama Mkongo au Mrundi?

    Ngozi nyeusi bana hamna kitu kabisa, inchi hii warabu na waindi ni wengi sana hadi serekalini na majina yao ni ya kiarabu na kiindi na walio wengi wanaendaga likizo Oman kama nyumbani kwao ila hawajawai kubaguliwa hata kidogo, ila utakuta mtanzania real wa baba na mama anabaguliwa kisa katokea...
  4. SENATOR WHITE

    Khadija Kopa avunja ukimya anatafuta mume

    "Kaamua kutulia" Inamana siku zote kumbe alikua hajatulia?
  5. SENATOR WHITE

    Stendi ya Magufuli Kuna kelele sana

    Acha kulalamika ndugu, we kama una biashara yako peleka tangazo lako pale wakutangazie tu upate wateja, unafikiri wao watakula wap
  6. SENATOR WHITE

    Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

    Ina maana yeye ndo kaiumba Tanzania au? Mbona hujasema ikitokea Nyerere kafufuka au hayati Mkapa? Tanzania aliikuta ina kila kitu, na hata kama angekuwepo sio kwamba angetawala milele apana, mda wake ungeisha na angepisha wengine tu. zile zilikuwa mbinu za kutaka kutukuzwa tu.
Back
Top Bottom