Sheria za Askari wa usalama barabarani ziangaliwe upya ili kuondoa malalamiko ya Madereva kunyanyaswa na Askari.Leo katika taarifa ya habari ITV tumeona madereva kusitisha huduma za usafirishaji katika Mkoa wa Songwe kwa madai ya kunyanyaswa na askari wa barabarani.Hivi kama unagombea shamba na...
CUF Ikifutwa Lipumba ndio atabeba lawama.Na umma wa watanzania unajua kwamba Lipumba anatumika akisaidiwa na msajili ili kuleta vurugu na chama kufutwa.
Ni aibu idara nyeti ya serikali kusemwa hovyo kila mahali.Kuna haja idara hii nyeti ya usalama wa taifa kujiathimini labda wapo watu ndani ya idara wanavujisha siri za idara au wapo wanasiasa wanawatumia hovyo kinyume na majukumu yao au upo mgogoro ndani ya idara au wameajiri watu ambao uraia...
Tutashangaa iwapo Waziri wa Habari na BASATA kama hawatachukua hatua dhidi ya Diamond.
Kila siku tunaona CD fake zinavyokamatwa iweje mtu atumie picha ya kiongozi wa Taifa bila ya ruksa toka katika Familia .Anatakiwa Diamond aondoe picha hiyo na aiombe radhi Familia ya Baba wa Taifa na...
Tutashangaa iwapo Waziri wa Habari na BASATA kama hawatachukua hatua dhidi ya Diamond.
Kila siku tunaona CD fake zinavyokamatwa iweje mtu atumie picha ya kiongozi wa Taifa bila ya ruksa toka katika Familia .Anatakiwa Diamond aondoe picha hiyo na aiombe radhi Familia ya Baba wa Taifa na...
Hilo kanisa mbona haliongei mambo ya Mungu linaongelea watu , uzushi na siasa kwanini hilo kanisa lisifutiwe usajili kama alivyofanyiwa Dr aliyejifanya bingwa wa magonjwa ya wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.