Recent content by semhando18

  1. S

    Makonda kuwakamata waliotelekeza watoto Jumatatu

    Mimi nilipigiwa simu lakini kwa bahati mbaya nipo huku Handeni nimekuja kulima nitarudi dar wakati wa mavuno wanisubiri tu hawana jinsi.
  2. S

    Rais Magufuli amteua Robert Msalika Makungu aliyekuwa Naibu Mkurugenzi TISS kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora

    Upuuzi huu! Kutoka naibu Mkurugenzi hadi Katibu Tawala wa Mkoa? Kwanini asiombe kustaafu akalea wajukuu kuliko kudhalilishana namna hii? Naona mheshimiwa anazidi kujitengenezea maadui.
  3. S

    Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

    Vitabu vingi vinapatikana katika Maktaba za Vyuo vikuu. Kule wanaosomea Fasihi wanavitumia sana na ukiwasiliana nao utaweza kuvipata.
  4. S

    USISAHAU: TZS 1.5trilioni hazina maelezo. TRA wamedanganya trilioni 2.2 makusanyo mwaka 2016/17

    Inawezekana ni zile pesa zilizotumika bila kuidhinishwa na Bunge, labda ndio zile zilizotumika kununulia ndege? Au kukomboa ile ndege yetu pale Canada? Au kutoa misaada nje ya nchi? Au kununulia mboga
  5. S

    DR Mollel wa Siha aicharanga CHADEMA kwa takwimu. Atoa ushuhuda mzito

    Hakuna tatizo kuchangishana ili kujenga chama au kuwamotisha viongozi, huo ndio utaratibu toka enzi za TANU
  6. S

    Peter Msigwa: Kuna propaganda za makusudi kujaribu kunichafua kuwa nimetelekeza Mtoto Dar es Salaam

    Mfalme Sulemani alikua na wanawake elfu moja hapo bado hujahesabu watoto wake. Sifa ya mwanaume rijali na kuzaa, mwanamke mwenye akili ni kulea.
  7. S

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha aamua kuachia ofisi na kwenda shule ya Msingi kufundisha

    Huyu jamaa amesomea ualimu? Kujitolea sawa lakini anahusika au anatafuta kiki kwa pikipiki?
  8. S

    Wanawake wenye watoto waliotelekezwa wafurika ofisi za Mkuu wa Mkoa Dar Paul Makonda kushitaki

    Pambafff!!! Ww mahusiano ya watu wawili waliokubaliana wenyewe unaanzaje kuyaingilia? Mwanamke amejipeleka kwa mwanamume yeye mwenye akiwa na akili zake timamu akavua chupi yake bila kulazimishwa na matokeo yakapatikana. YA NGOSWE MUACHIE MAZOEA
  9. S

    Spika Job Ndugai akiri kuyafahamu madai ya kambi ya upinzani bungeni, amwandikia Mbowe barua kuona namna ya kuyatatua

    Usishangae sana! Umemsahau yule aliesema kuwa Roma Mkatoliki atapatikana kabla ya Jumapili!
  10. S

    Deni la Taifa: Rais, CAG na Mawaziri watofautiana takwimu. Ukweli ni upi?

    Inategemea kila mmoja ametoa statement wakati gani.
  11. S

    Hili ni kosa jingine kwa KUB litakalokigarimu mpaka chama

    Wapinzani katika Awamu hii ndio wanaohitaji kuombewa sana. Mapambano yao ni makali sana. Mungu awatie nguvu.
  12. S

    Nini madhara ya kutosomwa bajeti mbadala bungeni?

    Mipango ya nchi kwa kipindi hiki hupangwa na kikundi cha watu wachache sio Bunge so hakuna impact yoyote wacha maisha yasonge
  13. S

    CCM yaendelea kukubalika na Watanzania wengi

    Hivi uwiano wa wasomi katika nchi yetu upoje?
  14. S

    Kumbe kweli wanasiasa wananunuliwa kwa Fedha ili kuunga jitihada za mh rais

    Ana ushahidi? Ingawaje hautasaidia maana yule mwingine ushahidi ulitolewa hatima yake jamaa kapanda cheo. Ila kama anao autoe kwa ajili ya kutunza kumbukumbu
Back
Top Bottom