Awamu hii kumekuwa na kauli za visingizio vya kuwasaidia walahoi huku hao walala hoi ndio wanaoteseka. Unaondoa local channel kwenye vingamuzi vinavyopatikana all over Tanzania na kutuletetea mavingamuzi hata yanapatikana wapi hatujui ni ujinga. Pili baishara iwe uria anayependa kulipia aende...
Kwa staili hii ya ruswa ya vyeo kwa wapinzani, na kuwafunga au kuwapiga au kuwanyanyasa wapinzani, machaguzi ni mawili tu , kuhamia ccm ule raha au kubaki upinzani familia yako ikusahahu. Nawashauri upinzani , kaeni kimya , kuleni maisha na familia zenu. Tuacheni wananchi tunyooke kwanza.
Acheni unafiki, wangapi wanaajiriwa serikalini bwana. Nani anapenda kufanya kazi za mkataba wa mwaka mmoja mmoja, wewe kila mwaka badala ya kufikiria kazi unawaza kurenew mkataba, mambo ya private hayo
Leo nimepata taarifa toka Njombe, walimu wamemvaa Mkuu wa mkoa, wanataka stahiki zao za Uhamisho, walimu hawa wanafundisha saa ngapi? Serikali walipeni hwa walimu fedha zao , au sitisheni hilo zoezi la uhamisho.
Ndugu
Ndugu hakuna walimu waliozidi, kinachokimbiwa hapa ni ajira mpya kwa walimu wa grad A, . Sekondari walimu wanahitajika sana , wanafunzi ni wengi na hata idadi ya shule za sekondari hazitoshi kubeba wahitimu wote wanaofaulu toka primary.
Ndugu
Ndugu hakuna walimu waliozidi, kinachokimbiwa hapa ni ajira mpya kwa walimu wa grad A, . Sekondari walimu wanahitajika sana , wanafunzi ni wengi na hata idadi ya shule za sekondari hazitoshi kubeba wahitimu wote wanaofaulu toka primary.
Acha majibu ya kijinga kwa mambo yanayodhalilisha na kuumiza watu wengine. Mbona wao wanapohamia Dodoma wanajilipa fedha za uhamisho? Kwa kuwa Wewe haujaguswa basi kila jambo linalofanyika liwe baya au zuri wewe sawa tu. Acha ubinafsi
Hakuna atakaye lalamika kama taratibu zitafuatwa, kwa nini umuonee mtu, mlipe stahiki zake , mwelekeze cha kufanya , atafanya tu. Tuache majibu ya kitoto kwenye mambo yanayoumiza watu na kidhalilisha utu Wa mtu kisa tu halijakufika.
Mwezi wa kwanza hadi wa tatu, ulitolewa waraka wa kuamisha walimu wa masomo ya Sanaa baadhi toka shule za sekondari kwenda shule za msingi Tanzania yote.
Agizo hilo lilitekelezwa na wakurugenzi wa halmashauri zote, maafisa Elimu msingi na sekondari, maafisa utumishi na wakuu wa shule, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.