Wabunge m sikanyage sheria mlizotunga. Wewe hayo yakifanyika jimboni kwako utafurahi? Jambo lililotakiwa ni Kamati kuitishwa na kama Mwenyekiti yaani Mbunge hayupo wajumbe wamteue mmoja wao aongoze kikao..
Mhe.,Waziri hapo unavunja Katiba uliyoapa kuilinda, kuidumisha na kuitetea.
Wahenga walisema "ajidhaniae kasimama aangakie asianguke".
Wewe unayetumia mazingura ya sasa ya Siasa nchini kuwatuhumu wenzie kwa Nia ya kutafuta zawadi ya U-DC geuka nyuma Na ukumbuke kauli za Sumaye 2000 kuwa mfanyabiashara asiyepeperusha bendera ya CCM atanyang'anywa leseni. Kauli hiyo...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatoa uhuru WA watu kuanzisha ama kujiunga Na vyama ili kufikua madhumuni yalio nayo Vyama vya Watanzania wanaotka eneo moja la nchi wanaoishi nje ya eneo lao la kuzaliwa huwrza kusajiliwa chini ya Sheria ya Societies Act (zamani Societies Ordinances)...
Hivi Kama ungekuwa umekwishzaliwa 1985 wakati Mwl. Nyerere anag'atuka ungesema nini? Unafikiri kuwa uamuzi wa namna ya kujipanga kufanya Ni busara za kawaida tu? Wakati Katina inafanyiwa marekebisho mwaka 1992 ulikuwa wapi?
Acha kupotosha Watanzania kwani Rais amekwisha tangaza kuwa yeye...
Kauli ya Mhe. Rais isitafsiriwe vibaya. Kwa uelewa wangu maana yake Ni haki ya Kikatiba ya kujiunga Na chama au kufuata itikadi uipendayo iheshimiwe.
Hata hivyo Kuna maeneo ambayo wafuasi wa vyama mbalimbali wamekuwa wakinikera Sana. Msiba sio jukwaa la Siasa. Lakini wafuasi hai badala ya kuvaa...
Msipojiandikisha na kupiga Kura mtaongozwa na manunda we atakaotunga sheria ndogo zitakazoongoza na kuamua mustakabali wenu na mali zenu.
Usidanganywe, kajiandikishe uchague kiongozi bora atakayesimamia maslahi yako.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, WAJALIE WAJA WAKO HEKIMA NA MAARIFA
Wajumbe hao wamekiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977. Chama kiwachukulie hatua vinginevyo Mwanasheria Mkuu wa Serikali aingie ulingoni kuitetea Katiba kama alivyoapa kuilinda Na kuitetea.
WanaCCM lazima tuongoze. Njia katika kuheshimu Katiba na sheria za nchi.
Ukilinganisha Na viongozi WA CUF Bwana Lipumba, UDP Bwana Cheyo Mbowe ameingia juzi tu. Kama Katiba inamruhusu mwacheni yaendelee. Wengi wanaopiga kelele hapa sio wanachama WA CDM Ni mamluki. Sisi WA Lumumba tuwaachie WA Ufipa mifupa yao ikiwakwama haituhusu.
Wewe Alex unajua maana ya Waziri Mkuu? Hivi huyo unayemtaja kweli unaweza kumlinganisha Waziri Mkuu WA kwanza wa Tanganyika Mwl. Julius Kambarage Nyerere, au Rashidi Mfaume Kawawa, Edward Moringe Sokoine, Cleopa David Msuya, Joseph Sinde Warioba, Salim Ahmed Salim, Edward Lowassa? Kama...
Acha udumavu wa akili. Wakati Mwl. Nyerere akituunganisha na kushawishi kuwa mazingira yetu na wakati tuliopo unatutaka tukubali demokrasia ya vyama vingi ulikuwa hujazaliwa na hujui mateso tuliopitia chini ya chama kimoja. Ombi lako ni sawa ma mtu aliyetapika na kutaka kurudia kula matapishi...
Mhe. Zitto Kabwe, Asalaam Alaykum.
Binafsi nakushukuru kwa takwimu ulizotupa kupitia Twitter account yako. Hata hivyo bila kupoteza muda naomba nikukumbushe kuwa hadi kufikia mwaka 2015/2016 wakati Sheria ya Bajeti ya 2015 ilipoanza kutekelezwa taasisi nyingi za umma zinazokusanya maduhuli...
Hivi kama huna sifa ya kuwa .mwanafunzi wa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli unapata wapi sifa ya kuwa mwalimu wake
Mwacheni Rais afanye kazi zake kwa kuongozwa Na hekima Na maarifa itokayo kwa Mungu Mwenyezi.
Our leaders need to be selective of the appropriate words and orders they give to their subjects. Some orders including this one are not enforceable because it touches people's privacy and runs counter their interests.
Hongera Bernard Membe. Hata hivyo kwa kuwa najua ukipata Urais tutapata taabu zaidi kuliko wakati wo wote wa Uhuru WA Taifa letu siku ukichukua fomu nami pia nitachukua kwa sababu najua wazi kuwa naweza kuwa Kiongozi bora kuliko wewe. Tunavyokujua ulivyo na visasi visivyoisha!! Pisha ibilisi wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.