Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Toka tumepata Uhuru Majaliwa Kasimu Majaliwa ndio Waziri Mkuu ambaye ameitendea haki hii nafasi.
Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia baadhi wakitumia nafasi hii kisiasa au kujipatia Ukwasi
Lakini leo tunaona Waziri pindi anapofanya ziara mikoani kukagua shughuli za maendeleo jinsi gani anavyokagua report na kipengele kwa kipengele kujiridhisha hasa kwenye matumizi za pesa za Serikali
Ameibua madudu hasa hawa mchwa wanavyotafuna pesa za umma lakini zaidi kuchukua hatua mara moja au kumshauri Boss wake Mh Rais
Halmashauri zetu ndio ilikuwa sehemu au kichaka cha pesa za Serikali kutafunwa kupitia kwa baadhi ya Wakurugenzi ambao sio waaminifu
Mh Rais Magufuli alisema bora ujijonge kuliko kula pesa za awamu yake
Mh Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa ameitendea haki nafasi hii kwa viwango na weledi mkubwa sana
Ni matumaini yangu kuona Mawaziri na watendaji wengine wote kufuata nyayo za Mh Rais Magufuli na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa
Alex Fredrick
Mbeya
Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia baadhi wakitumia nafasi hii kisiasa au kujipatia Ukwasi
Lakini leo tunaona Waziri pindi anapofanya ziara mikoani kukagua shughuli za maendeleo jinsi gani anavyokagua report na kipengele kwa kipengele kujiridhisha hasa kwenye matumizi za pesa za Serikali
Ameibua madudu hasa hawa mchwa wanavyotafuna pesa za umma lakini zaidi kuchukua hatua mara moja au kumshauri Boss wake Mh Rais
Halmashauri zetu ndio ilikuwa sehemu au kichaka cha pesa za Serikali kutafunwa kupitia kwa baadhi ya Wakurugenzi ambao sio waaminifu
Mh Rais Magufuli alisema bora ujijonge kuliko kula pesa za awamu yake
Mh Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa ameitendea haki nafasi hii kwa viwango na weledi mkubwa sana
Ni matumaini yangu kuona Mawaziri na watendaji wengine wote kufuata nyayo za Mh Rais Magufuli na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa
Alex Fredrick
Mbeya