Wanaposema No Reforms No Elections, ni nini Hua akieleweki? Labda kama ACT wamekula mchongo na CCM, ili wapewe majimbo -> ruzuku -> ushikiri katika serikali ya Zanzibar.. etc...na hii ni uigizaji, na hivyo wameamua kusindikiza UCHAFUZI... vinginevyo?!!
Tanganyika ina matatizo mengi makubwa ya kutengezwa., ambayo ni lazima tuyatatue ili Tanganyika isife na ipate maendeleo ya vitu na watu.
Maja ya matatizo hayo ni MUUNGANO. Huu Muungano kama ulivyo umekua UKIIKABA KOONI Tanganyika ili ife.
Aina ya Muungano inayokubalika ni wa;
1. Serikali...
Unapo unda muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambao:
unaiua Tanganyika, na Mali zake kuukabidhi Muungano,
unaiacha Zanzibar hai, na kuiachia mali zake, nje ya muungano
Unatengeneza mazingira ya waZanzibari kuzitumia vibaya mali za iliyokua Tanganyika kwa kisingizio cha muungano.
Ndio...
Hivyo wanashauri alternative ya kumuachia fisi bucha ni kushindana nae kula nyama na mifupa?
Huyo fisi ni wakumrushia mfupa wenye sumu ya kumuua.
Haki haipewi, huchukuliwa. Itahitajika mapinduzi ya kweli, sio ya jina, kuipata haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.