Recent content by SELE Signal

  1. SELE Signal

    Tecno W3 imezima

    Habari zenu, Simu tecno W3 imezima ikiwa inachajiwa ni nini suluhisho lake mwenye kujua.
  2. SELE Signal

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Wadau TECNO W3 ilikuwa inachajiwa lakin ndo imezima mazima.Nini nifanye
  3. SELE Signal

    Njoo tujuzane ujuzi wa kutafuta sattelite za chaneli bila kubahatisha

    Shukran Sent using Jamii Forums mobile app
  4. SELE Signal

    Njoo tujuzane ujuzi wa kutafuta sattelite za chaneli bila kubahatisha

    Msaada FREQUENCE za TV IMANI katika madishi makubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. SELE Signal

    Njoo tujuzane ujuzi wa kutafuta sattelite za chaneli bila kubahatisha

    Aise nahitaj finder kama hyo. inapatkana kwa sh. Ngap na ni wap?
  6. SELE Signal

    Kutakuwa na second selection mwaka huu?

    Naomba mnijuze jamani hivi mwaka huu kutakuwa na second selection kweli ya form five??
  7. SELE Signal

    Je, Tundu Lissu bado unaamini kuwa Magufuli ni Dikteta Uchwara?

    Ifike wakati tuondoe ushabiki usiokuwa na tija ktk taifa.Utawala wa nchi upo ndani ya katiba na hata viapo vinasisitiza kulinda na kusimamia katiba sasa HATA KAMA WW KIONGOZI FUATA KATIBA Sasa isifike unaongoza kwa utashi wako binafsi isiwe hivyo tambuen kila mmoja anaudhaifu wake WACHA WANAOJUA...
  8. SELE Signal

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Admin naomba uniunganishe kwenye group la SAT na FTA whatsap namba 0654803929
  9. SELE Signal

    Msaada: Azam TV livestream

    Www.azamtv.com
  10. SELE Signal

    Msaada: Azam TV livestream

    Naona inapatikana azam two pekee. Msaada wataam
  11. SELE Signal

    Msaada: Azam TV livestream

    Hivi naweza kupata chanel za azam tv kama azam one, azam two, azam sport hd n. k Msaada wataalamu
  12. SELE Signal

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Hivi naweza kupata channel za azam tv livestream? Msaada wataalam
Back
Top Bottom