Kuna maelezo hapa ya muda unaokadiriwa kuwa wa wastani katika tendo la ndoa, inaweza kukusaidia:
How long should sex last: How Long Should Sex Last, Really?
Kama wanavyosema wadau, mwenza wako asiwe wa kulaumu tu, wote mshirikiane kuona na jinsi gani mtashiriki pamoja na kila mmoja kufurahia...
Asante sana Chief-Mkwawa.
Kama kuna shule na ujuzi uliokuwa ukinihangaisha kwenda nao sawa, ulikuwa ni huu, IPTV. Kupitia bandiko lako, nimetoka sifuri hadi mafanikio (nimeweza kufungua Sky Sports 1). Naamini nitapata channel nyingi zaidi kadri nitakavyoendelea kujipambanua na hii kitu mpya na...
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.
Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu...
Ni swali pana.
Magonjwa ya kuambukiza au yasiyoambukiza (NCD)? Pia takwimu nyingi zimepangwa kulingana na umri (age) au hatari (risk, vulnerability).
Hivyo sababu za vifo kwa watoto, akina mama n.k zinatolewa kwa mfumo huo.
Hata hivyo, fuatilia takwimu zifuatazo kwenye ukurasa wa Tanzania...
Sina picha, ila nilipita jangwani. Wao-em wlikuwa wamekaa kwenye viti na walipangwa ki-utaratibu wa wanakotoka sijui ni matawi and what nots. Pia, kilikuwa na nafasi kubwa sana kati ya jukwaa na umati.
Japo hatuoni picha mbadala, ukweli ndio huo. Ukiwa unafahamu mambo ya Photoshop utaelewa na...
There is more documentation to the subject.
This time by the body that recognizes soverign states, the one and only UN.
United Nations Treaty Collections
United Republic of Tanzania:
Note 1.
The People's Republic of Zanzibar was admitted to membership on 16 December 1963 by Resolution...
I posted the link to the below reference in this forum in one of the topics. I am anticipating to be branded a puppet. But hold on a minute, is that a scare? Just because I stumbled on a reference and dwelled on it, I could be a puppet. Really?
But at least this appears to be anything closer...
Mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni. Wanaojua, wanajua. Hakuna SMZ bila Tanganyika. Isingedumu.
Ndio maana yule Mzee wa Watu alisema, kwa sababu anajua, "Nje ya Muungano, Hakuna Zanzibar"
Spend some time, read stuff: http://www.foia.cia.gov/CPE/ESAU/esau-28.pdf.
"Yet, as early as the...
Photos, courtesy of Wavuti--picha: Mkutano wa CHADEMA Mtwara leo Mei 28, 2012 - wavuti
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa M4C (Movement For Change)...
Kwa hisani ya Wavuti: picha: Mkutano wa CHADEMA Mtwara leo Mei 28, 2012 - wavuti
Kam hii ndo tafsiri ya matatizo. Na iwe.
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa...
O. Boban. S
Kuna wataalam wa ku-spin humu baab kubwa... waweza kuchakachua na photoshop na wataweka mlima Meru in the background watakwambia hapo Lema yuko Arusha anahutubia. Si umeona ile picha ya vitoto vimeweka alama ya V, hiyo ilikuwa ni kazi ya photoshop.
By the way, nilikuwapo Jangwani...
For the doubting tomases
Picha kwa hisani ya wavuti
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa M4C (Movement For Change), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa. (Picha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.